Wabongo zaidi ya uwajuavyo!

Wabongo zaidi ya uwajuavyo!

Daraja la Kigamboni tayari linatakataka kama dampo flani hivi!
Matatizo sio Watu.Hakuna mapipa ya taka.
Kama mapipa yapo nadhani uchafu utapungua Au hautakuwepo. Halafu iwekwe TAHADHARI
Ukitupa taka barabarani faini ni 1000 mpaka 10,000. Watu wengi tunajali mifuko yetu.
Tutanyooka tu.
 
Hii inanifanya niamini kabisa kuwa watu wa ukanda wa pwani kiujumla wao ni Wachafu na Wavivu kupindukia. Mji wa Mwanza huwezi kukuta upumbavu wa namna hii.
 
asili yetu sio uchafu, asili yetu ni uvivu, ushenzi majivuno na ubinafsi.. HATA KUWE KUCHAFU VIPI, SISI HAITUHUSU, BALI ATAKUJA KUSAFISHA YULE MZEE KIKONGWE BAADAE, MAANA WAZEE WETU NDIO TULIOWAPA DHAMANA YA KUSAFISHA MABARABARA YETU NA MJI WETU WOTE.''
 
Nchi hii tumezidi upole, sasa huu ni ujinga na chi nzima inaingia gharama kwa upuuzi wa wachache (japo nahisi wabongo wengi naturally ni wachafu ), huwezi kuwa na mji safi kama hakuna bylaws za kusimamia usafi, tupa taka unapigwa fine kuanzia elfu hamsini kuendelea, huna tunakuweka ndani.....Mr Makonda deal with this!
 
Matatizo sio Watu.Hakuna mapipa ya taka.
Kama mapipa yapo nadhani uchafu utapungua Au hautakuwepo. Halafu iwekwe TAHADHARI
Ukitupa taka barabarani faini ni 1000 mpaka 10,000. Watu wengi tunajali mifuko yetu.
Tutanyooka tu.

Hilo lakwanza sidhani kama ni sahihi... yaani kama huoni pipa la taka ndo utupe yale marundo ya taka vile, halafu darajani? yaani kama ingekuwa mfuko tupu au kopo la soda au boksi tupu la biskuti au ganda la pipi ndo unaweza kusema hajaona pipa la taka hapo jirani, lakini kwa marundo hayo hapana coz ni accumulation ya taka!
 
Ukitaka kujua aina ya binadamu anayeishi Tanzania basi nenda ukafanye utafiti kwenye vyoo vya jumuiya a.k.a "Public Toilets"
Wacha kashfa wewe sijui unaishi nchi gani hapa duniani.Uchafu wa vyoo vya jumuiya havifanyi kuwa WaTanzania ni binaadamu wa Ajabu.
Vyoo vingi vya jumuiya ni vya kulipia Na ni visafi Au umezoeya vyoo vya kukaa?
Halafu watu wenye kejeli kama weye ndio hata kijijini kwenu hamna choo.
 
Matatizo sio Watu.Hakuna mapipa ya taka.
Kama mapipa yapo nadhani uchafu utapungua Au hautakuwepo. Halafu iwekwe TAHADHARI
Ukitupa taka barabarani faini ni 1000 mpaka 10,000. Watu wengi tunajali mifuko yetu.
Tutanyooka tu.
75f6a097b02f561499367828a7204d3c.jpg

Mambo ya harusi Darajani hapo
 
75f6a097b02f561499367828a7204d3c.jpg

Mambo ya harusi Darajani hapo

Nilijuwa tu mtu atowa Au ataolewa darajani.Naona namimi nikafunge ndoa yangu nyingine Na mke Wangu mpenzi.Hapo darajani.
Wote mtakaribishwa.Inshaalah
 
Nilijuwa tu mtu atowa Au ataolewa darajani.Naona namimi nikafunge ndoa yangu nyingine Na mke Wangu mpenzi.Hapo darajani.
Wote mtakaribishwa.Inshaalah
In shaa Allah tunasubiri mwaliko
fc7ee711df2c97094224a645faac51b9.jpg
 
Back
Top Bottom