Kweli Wanawake ni Mashetani, sio wote ila type yako. Wewe unaona unachotaka kufanya ni sawa? Futa hayo mawazo mapenzi sio jambo la mchezo mchezo, jaribu kufikiria usije ukajuta badae...
[emoji15] conas??
Uliza kama uelewi jambo usijifanye unajua kumbe hujui kitu..
Nipo- School of Education (Soed)
Program- Post Graduate Diploma in Education (Pgde)
Askofu atoe hivyo vyeti feki, atuwezi kuamini maneno yake sisi sio waumini wake kwamba atachosema tukiamini. Aweke ushahidi wa anachosema, alafu anaposema aombwe msamaha anamaanisha nini? Anataka nini hasa? Lengo la kumsema kwamba anavyeti vyeki ni kumtaka aombwe msamaha au kuna lengo lingine...
Habari
Mimi ni Mwalimu, bado nipo chuo nategemea kumaliza mwaka huu 2017, level ya Post Graduate Diploma, A-level nilichukua PGM, Masomo ya kufundisha ni Mathematics na Physics, nipo Dar es Salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.