Natafuta Kazi ya kufundisha Shule Secondary

Natafuta Kazi ya kufundisha Shule Secondary

Msumi2017

Member
Joined
Feb 24, 2017
Posts
18
Reaction score
10
Habari
Mimi ni Mwalimu, bado nipo chuo nategemea kumaliza mwaka huu 2017, level ya Post Graduate Diploma, A-level nilichukua PGM, Masomo ya kufundisha ni Mathematics na Physics, nipo Dar es Salaam.
 
Mmmmh soed na Pm WAP na WAP??? Mbn watu wa PM wako Conas
 
Mmmmh soed na Pm WAP na WAP??? Mbn watu wa PM wako Conas
[emoji15] conas??
Uliza kama uelewi jambo usijifanye unajua kumbe hujui kitu..
Nipo- School of Education (Soed)
Program- Post Graduate Diploma in Education (Pgde)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom