Recent content by msongonoma

  1. M

    Baraza maalumu la Jiji la Arusha leo limeridhia rasimu ya mwisho ya mpango kabambe wa Jiji la Arusha

    Huo mpango ukoje kwa kifupi. Mimi nakaa Olasiti vipi kuna lolote pande hizo ???? Mlima ccm pale kuna chochote kitafanyika ????
  2. M

    Nimekuta mahela kwenye account yangu ya banki,Nifanyeje jamani?

    Post ya 2013 usikute jamaa ananyea debe utawala wa anko magu
  3. M

    Nyumba zinapangishwa Dodoma

    Arusha bei zikoje wakuu. Nina milioni moja cash hapa kwa wataalamu. Maeneo ya Olasiti nahitaji. Asanteni wakuu.
  4. M

    Course ya Doctor of Medicine

    Kuna KIU wale watakuchukua. Ila ada milioni 7 na point. Kama ukipata loan ujiandae kulipa milioni 3.5 kwa miaka 5. Si padogo hapo kasomee ualimu kama hela ni shida kwenu.
  5. M

    Wakazi wa Chumba Kimoja Tukutane Hapa

    Chini ya vungu kumejaa sahani ya jana na kikombe cha wiki jana. Aisee nakomaa nimalizie geto hawa jamaa wa maliasili watataifisha mbao zangu sijui. Nimepasua mwenyewe kupunguza gharama
  6. M

    Napendekeza serikali ihamie Arusha badala ya Dodoma

    Arusha kiwanja milioni saba hadi kumi ambacho kule Kigamboni ni kama milioni 2 au 3. Serikali ihamie kigamboni mimi nawaza wizara zote zile zitapelekwa wapi ???? Au watapangisha yale majengo. Mimi kiukweli Dodoma siipendi ila Arusha waje tu life huku liko juu aiseeeeee.
  7. M

    Ushauri: Nifanyaje mshahara wangu ukutane na wa mwezi mwingine?

    Inawezekana una majukumu tayari. Mimi mshahara wangu wa miaka 3 ninatumia asilimia 20 tu na inayobaki ninawekeza kwenye nyumba. Nakaa nyumbani sijaoa kwahiyo matumizi yangu ni vocha na nauli to "man in ner"
  8. M

    Kodi kwenye vifa vya ujenzi katika bajeti ya 2016/17

    Vifaa vya ujenzi ambavyo baadhi yetu tulikua tukinunua jeshini wameondoa lile punguzo nadhani la kodi na wanajeshi watapewa posho maalum. Hili kwangu ni pigo sababu nilitaka nkaongeze bati na ninunue misumari. Kweli kama hukujenga kipindi cha kikwete kwa magufuli hutaweka hata msingi.
  9. M

    Hatimae chipsi nazo zapanda bei

    Kuna mahali hapa sakina suprtmarket wanapika chipsi nzuri kweli. Nikawa nimekaa kama wiki 3 hivi sijafika pale kushtua chipsi kavu siku nimeenda naambiwa chipsi 2000 zimepanda toka 1500. Kwa kweli hali inakua mbaya sana viwanja navyo vitaendelea kupanda bei na sijui miaka 20 ijayo hali itakuaje
  10. M

    Jeuri ya Pesa: Bondia Floyd MayWeather achoma dola hadharani

    Laki 2 hiyo sema jamaa kwa ukwasi alio nao si kazi kuchoma laki 2 sema hii ni laana huko marekani si kuna ombaomba si amtupie apate hata baraka
  11. M

    Kwanini Rais na Serikali wanawahadaa wafanyakazi kuhusu punguzo la kodi?

    Mkuu kasome income tax au taxation au tafuta kijana au mtu aliyesoma uhasibu akusaidie mahesabu ya kodi yakoje. U mtupu kichwani mkuu. Samahani kama utaudhika. Asante sana
  12. M

    Magufuli: Watumishi hewa wamefikia 10,295. Ashusha kiwango cha kodi katika mishahara

    Wakuu kima cha chini cha mshahara mbona hajakitaja. Wanaofiatilia au walioko vyombo vya ndani tusaidieni hapo
  13. M

    Nyumba ya kupanga Mtwara

    Mkuu ni shangani apartment za jamaa mmoja wa moshi au ni wapi na bei zinaendaje mana jamaa anatoza kwa dola
  14. M

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    Kwa nini alikubali kufanya kazi chini ya mshahara aliouacha ?????
Back
Top Bottom