Donald Lema
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 165
- 215
Mimi Nipo Arusha, mji wetu hauna ardhi (eneo)kuweza kuubeba mji mkuu. Dodoma kuna ardhi ya kutosha.
Hahahahahaha wanakimbia Mameya wa UKAWA, hahahhahahaa wanajua Dodoma ndio CCM imebaki, nimekusoma vyemaMeya wa Arusha anatoka chama gani hilo ndio muhimu sana.
Kwa sababu zifuatazo:
1.) Ipo karibu na vivutio vingi sana, hivyo tutakuwa tumekuza utalii wa ndani kwa kiasi kikubwa sana, ukizingatia utalii unaongoza kuliingizia taifa mapato ya kigeni na tukiongeza ya ndani itakuwa safi sana, pia watalii watatua Arusha moja kwa Moja badala ya kupitia Jomo Kenyatta na kilala mahoteli ya huko.
2.) Ipo karibu na Kenya na hivyo itakuwa rahisi kujiambukiza maendeleo kutoka Kenya ikiwemo Teknolojia na ustaarabu wa kimaendeleo, pia tutalikamata solo la Kenya kwa ustadi mkubwa zaidi na hivyo kukuza uchumi.
3.) Tatu Arusha ipo tayari zaidi kirasilimali watu na kimiundombinu kuweza kuipokea serikali bila ukakasi wowote ule ukilinganisha na Dodoma.
4.).........5.).........
Ni kizazi kipya atayajulia wapi hyo.Wazo la kuhamia Dodoma halikuanza leo, sasa hili lako la kuhamia Arusha itabidi lijadiliwe na NEC, Bunge ndio tutarudi kukupa majibu.
huo uwoga tu sisi atuna roho mbaya kama unavyoogopa mkali sisi watu tusio na shida kabisa usiogope jomba!Chuga mazingira mazuri, hali ya hewa safi ila watu wa huko pumba kabisa...hawana roho ya kuishi na watu wa kada mbalimbali...na hiyo ni error kubwa sana ukiachilia mbali mji kuwa aside sana dhidi ya mikoa mingine kama mbeya na mtwara
Mirungi,ugoro,kitu cha arusha katika ubora wakeKwa sababu zifuatazo:
1.) Ipo karibu na vivutio vingi sana, hivyo tutakuwa tumekuza utalii wa ndani kwa kiasi kikubwa sana, ukizingatia utalii unaongoza kuliingizia taifa mapato ya kigeni na tukiongeza ya ndani itakuwa safi sana, pia watalii watatua Arusha moja kwa Moja badala ya kupitia Jomo Kenyatta na kilala mahoteli ya huko.
2.) Ipo karibu na Kenya na hivyo itakuwa rahisi kujiambukiza maendeleo kutoka Kenya ikiwemo Teknolojia na ustaarabu wa kimaendeleo, pia tutalikamata solo la Kenya kwa ustadi mkubwa zaidi na hivyo kukuza uchumi.
3.) Tatu Arusha ipo tayari zaidi kirasilimali watu na kimiundombinu kuweza kuipokea serikali bila ukakasi wowote ule ukilinganisha na Dodoma.
4.).........5.).........
Kama vipi wananchi wote tuhamie DomNapendekeza Wakuu wrote wa Mikoa wahamie DODOMA
Wazo muruaNapendekeza wizara zigawanywe katika mikoa mbalimbali ili kuleta usawa ktk mgao wapato la Taifa.
We ndo umenichanganya sasaNadhani inawachanganya kati ya mji mkuu wa Tanzania na makao makuu ya chama na serikali....
Mji mkuu wa Tanzania ni DAR ES SALAAMWe ndo umenichanganya sasa