Nyumba zinapangishwa Dodoma

Nyumba zinapangishwa Dodoma

....ndo mana akasema..,hata kama ndio boom,sio kihivyo!
...10,000-30,000/sqm?
Dodoma ya siku zileeeeeeeeeeeeeeeee sio Dodoma ya leo na kesho.
CoglS64UAAEGRI2.jpg
 
Dodoma ya siku zileeeeeeeeeeeeeeeee sio Dodoma ya leo na kesho.
View attachment 372816
...teh hee hee..anyway,we ni mfanyabiashara,mimi ni mchumi uchwara!
..msome tena jamaa lini,na wapi aliponunua kwa bei alotaja!
..probably tunatofautiana tu tafsiri ya siku zileeeeeeeeeee!
..siku na kazi njema!
 
....ndo mana akasema..,hata kama ndio boom,sio kihivyo!
...10,000-30,000/sqm?

Halafu sasa hapo niliponunua ni mjini karibu na BoT wizara ya fedha jengo jipya la ccm na mkaguzi mkuu pspf tower ofisi ya mkuu wa mkoa

Na huko chamwino ikulu ni kijijini. Manaake ni kwamba pale kwangu sasa si patakua milioni mia??? 926 sqr mtrs nilinunua milion 9
 
Kisasa cha pili toka kwenye lami kina 20 kwa 40. Na Nzuguni karibu na ambako stand ya mabasi itakapoamia kipo cha ukubwa wa 50 kwa 70. Check your inbox kwa details zaid
Naomba unitajie bei ya hivi viwili mkuu. Hata PM
 
...teh hee hee..anyway,we ni mfanyabiashara,mimi ni mchumi uchwara!
..msome tena jamaa lini,na wapi aliponunua kwa bei alotaja!
..probably tunatofautiana tu tafsiri ya siku zileeeeeeeeeee!
..siku na kazi njema!


Tusimbishie jamaa yawezekana aisee na inawezekana kuna watu tukatajirika kwa kauli za Rais. Ila sitaki kuamini bado. Sema siko Dom kwa sasa so sijui
 
mkuu hii ni bei ya arusha siyo dodoma.Nawashauri muende CDA vinginevyo mtapigwa
Ukitaka kiwanja kilicho km 30 mpaka 50 kutoka mjini nenda CDA, ukitaka vilivyoko kwenye prime areas ambavyo viko maeneo ya karibu kabisa na TOWN nitafute.
Maamuzi ni yako?
 
Halafu sasa hapo niliponunua ni mjini karibu na BoT wizara ya fedha jengo jipya la ccm na mkaguzi mkuu pspf tower ofisi ya mkuu wa mkoa

Na huko chamwino ikulu ni kijijini. Manaake ni kwamba pale kwangu sasa si patakua milioni mia??? 926 sqr mtrs nilinunua milion 9
Kuuza kwa bei gani ni maamuzi yako, hakuna anayekulazimisha ama ukiuze au ukiache. This is business, na soko ndilo linalipanga bei.
 
Ukitaka kiwanja kilicho km 15 mpaka 30 kutoka mjini nenda CDA, ukitaka vilivyoko kwenye prime areas ambavyo viko maeneo ya karibu kabisa na TOWN nitafute.
Maamuzi ni yako?
mkuu 30km kutoka dodoma njia ya dar ni njia panda ya chamwino ikulu njia ya kondoa ni pale mzakwe njia ya singida ni mbel ya mzani kwa njia ya iringa ni karibu na bihawana. Mkuu jambo jema wewe unafanya biashara fanya biashara kulingana na bei ya soko mkuu.I stand to be corrected
 
mkuu 30km kutoka dodoma njia ya dar ni njia panda ya chamwino ikulu njia ya kondoa ni pale mzakwe njia ya singida ni mbel ya mzani kwa njia ya iringa ni karibu na bihawana. Mkuu jambo jema wewe unafanya biashara fanya biashara kulingana na bei ya soko mkuu.I stand to be corrected
Noted Kiongozi.
Karibuni Dodoma.
 
Arusha bei zikoje wakuu. Nina milioni moja cash hapa kwa wataalamu. Maeneo ya Olasiti nahitaji. Asanteni wakuu.
 
Properties siku zote zinapanda bei kwa sababu ya Speculators.Ukitaka kujua sasa hivi Nenda Kigamboni ukajionee majuma ya nguvu yaliyoshuka bei.Mashirika ya umma yalijenga kwa mbwembwe (NHC,NSSF etc); Kisha watu wakachukua mikopo,hasa waajiriwa.Baada ya muda wale waliodhaniwa ni wateja nao Wana majumba.Hakuna mpangaji,yako empty.Mji haukui kwa parameter 1 tu ya serikali Kwenda Dodoma.Unahitaji Mchakato wa Kiuchumi mpana.Cheki Jiji la Mwanza,Arusha na Mbeya.
Msije Miaka mbele ya Safari,mkibakia kusema "Dodoma pia Nina Uwanja"!!!
 
Mkuu
Kuuza kwa bei gani ni maamuzi yako, hakuna anayekulazimisha ama ukiuze au ukiache. This is business, na soko ndilo linalipanga bei.

Mkuu hujanijibu kuhusu Nzuguni. Nitafte PM
 
Matapeli mmeanza kuuza kiwanja sqm 30000(?? Na listi unatoa? Dodoma bado sana kuuza bei hiyo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom