Biashara zako haziyumbi sabbu unalo pato la uhakika kila baada ya siku 30 ofisini .ukishategemea biashara pekee kama kila kitu chako ikiyumba kidgo huwezi kuiokoa , ofisn ukiwepo katika nyakati hizo waweze chukua mkopo wa sacoss ama salary loan.
Otherwise labda useme tu wewe ni maisha bora...
Ni kweli ..2025 year end to this 2026 is the worst timeline kwa sisi wapenzi wa movie.. sequal zote zilizoendelea kwa kweli ni kama hamna kitu.. kwa sasa nimebase kwenye series chache tu kama landman .. day of the jackal.. pia kurudia movie za 2012 to 2021.. jack reacher, transporter, taken...
Kwani tangu lini saa tano usiku imekua usiku mzito,, kwa mawanume mtafutaji, kwa kazi zetu za kila siku na muda extra wa kupumzika na marafiki limit inabidi tu anagalau urudi nyumbani usilale nje .. urudi home kabla ya watu hawajaamka tu kwenda kwenye shuguli zao,, saa 9 saa kumi usiku sio mbaya.
Cnn ni balaa, yani muda wote huo walikua wanaverify zile taarifa za picha mjongeo, hawana kukurupuka .. wanafanya home work yao, wakija kukupa vithibitisho vya kiteknoljia huruki mzee
Meta data anapata original sender tu kwa receiver kupitia njia ambazo hazi encode hizo data na kuzi encrypt. Mfano nikutuma hio picha bila ya kupoteza property zake mfano via bluetooth, share file, infrafred etc. nikukutumia data kama picha au video via whatsapp haiji na propeterties zake ndo...
Hio hela atakayolipwa baada ya hiio event na serikalo ndo itamrudisha huko huko. Na hii si tu kwa maneno yangu. Na recall moja ya speech alitoa pia kuwa alikua kaacha madawa yupo sober house akapigiwa simu kuna malipo yake ya october campaign yameingia akatoroka sober house 🤣🤣🤣
Sbt good milaege cars, good auction grade cars, mind you be foward wana third party agents. Ambapo hayo ya third party yanakuwa mabovu sana . Mengi wanaminya sensor za ubovu ukiagiza gari three months tu maugonjwa yote yanafumuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.