Recent content by msomi kutoka znz

  1. msomi kutoka znz

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Main road tu, morogoro road, kisha chalinze msata ,, sichukuagi option za njia za vumbi zina cost sana miguu
  2. msomi kutoka znz

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Target: Dar morogoro , Morogoro Lushoto - Lushoto Dar
  3. msomi kutoka znz

    Goodride: Je, ni tairi bora kwa barabara zetu au tunadanganywa na bei yake nafuu?

    Sisi wenye gari za 4wd goodride tunaifunga tairi za mbele , nyuma tunaweka road cruza kwa ajili ya traction.
  4. msomi kutoka znz

    Movie za action na Animation zimepungua vibe

    Ni kweli ..2025 year end to this 2026 is the worst timeline kwa sisi wapenzi wa movie.. sequal zote zilizoendelea kwa kweli ni kama hamna kitu.. kwa sasa nimebase kwenye series chache tu kama landman .. day of the jackal.. pia kurudia movie za 2012 to 2021.. jack reacher, transporter, taken...
  5. msomi kutoka znz

    Hatimae nimekuwa huru baada ya kuishi nae miaka 12

    Kwani tangu lini saa tano usiku imekua usiku mzito,, kwa mawanume mtafutaji, kwa kazi zetu za kila siku na muda extra wa kupumzika na marafiki limit inabidi tu anagalau urudi nyumbani usilale nje .. urudi home kabla ya watu hawajaamka tu kwenda kwenye shuguli zao,, saa 9 saa kumi usiku sio mbaya.
  6. msomi kutoka znz

    They're Cooked officially kuwatetea ni haiwezekani kabisa

    W MKUU anaulizwa kuhusu V4 he keeps on saying ,..guys ...guys ... kama yupo group discussion ya first year vimbwetani coet
  7. msomi kutoka znz

    PostGE2025 Uchunguzi wa CNN kuhusu mauaji ya Tanzania umekamilika, kuachiwa rasmi duniani kote Novemba 21, 2025

    Cnn ni balaa, yani muda wote huo walikua wanaverify zile taarifa za picha mjongeo, hawana kukurupuka .. wanafanya home work yao, wakija kukupa vithibitisho vya kiteknoljia huruki mzee
  8. msomi kutoka znz

    PostGE2025 WARNING:⚠️Namna Serikali inavyowakamata Wanaotuma picha Za Mauaji Mtandaoni: Na jinsi unaweza kujilinda

    Meta data anapata original sender tu kwa receiver kupitia njia ambazo hazi encode hizo data na kuzi encrypt. Mfano nikutuma hio picha bila ya kupoteza property zake mfano via bluetooth, share file, infrafred etc. nikukutumia data kama picha au video via whatsapp haiji na propeterties zake ndo...
  9. msomi kutoka znz

    Kauli kama hizi ndio zinazofanya kuwanyima watu chaji ya simu.

    Naaam kaka mwaka mpya wa serikali hazina imekauka, wache tuchangie mapato
  10. msomi kutoka znz

    Kauli kama hizi ndio zinazofanya kuwanyima watu chaji ya simu.

    Charger ya dakika 10 hii hapa. Nimewaibia siri
  11. msomi kutoka znz

    Chid Benz amekua 'Pande la Mtu', tazama akitumbuiza kwenye siku ya kupambana na madawa ya Kulevya

    Hio hela atakayolipwa baada ya hiio event na serikalo ndo itamrudisha huko huko. Na hii si tu kwa maneno yangu. Na recall moja ya speech alitoa pia kuwa alikua kaacha madawa yupo sober house akapigiwa simu kuna malipo yake ya october campaign yameingia akatoroka sober house 🤣🤣🤣
  12. msomi kutoka znz

    Kampuni gani Bora kuagiza Gari nje ya nchi? Japan, UK, Singapore etc

    Sbt good milaege cars, good auction grade cars, mind you be foward wana third party agents. Ambapo hayo ya third party yanakuwa mabovu sana . Mengi wanaminya sensor za ubovu ukiagiza gari three months tu maugonjwa yote yanafumuka.
  13. msomi kutoka znz

    FT: RS Berkane 2-0 Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025

    My opinion: simba ifanye kila namna isicheze round ya pili ya huu mchezo. Fedheha kubwa hii watani. Endeni na #hatuchezi. Cc karia fanya jambo simba wasilie
  14. msomi kutoka znz

    Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

    You did what is right for your soul bro, sasa save your soul more, Fukuza hio mtu right away ama toka wewe uende umuache. Watoto hu adjust tu , wanayo hio karama. Trust mtoto akikua atakuja kuelewa tu wala huna haja ya kuja kujitetea mbeleni. There is always a new better life for you. Kuendelea...
Back
Top Bottom