Recent content by MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

  1. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Tanzania tuwe makini na Rais Paul Kagame, siyo mtu wa kuaminika

    Hii ya magufuli kupigwa mbona ngeni masikioni mwangu kumhusisha kagame[emoji848]
  2. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Aina za vitambi na sababu zake

    Vitambi vpo na sura mbaya hivyo
  3. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Kama una tabia hizi 10, huwezi kamwe kufanikiwa kwenye maisha

    Umeongea point mkuu maendeleo ni kujitoa
  4. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Zitto aitaka Serikali ya Mama Samia kuhakikisha vyama vya siasa na vyombo vya habari vitakuwa huru kutekeleza majukumu yake

    Sijaona kama ni jambo la msingi sana, tukiangalia nchi zilizoendelea haraka kiuchumi Uhuru wa siasa si jambo la msingi sana. Nchi kama Korea kaskazini wapo mbele Ila siasa sio cha msingi sana itatupotezea muda tyu, mfumo uliotumiwa na mtangulizi JPM uendelezwe au uboreshwe zaidi.
  5. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Kuna Mkoa haujapata mafanikio ya Magufuli?

    Mkuu kafanya mambo mengi kiukweli! Tutamkumbuka daima JPM
  6. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Mbowe, mkanye Lissu

    Ni kweli jamaa hajatumia uungwana kabsa, sema kajivunjia uaminifu mkubwa kwa watanzania. Ila sema anajua hatogombea tena ndio mana amejitoa mhanga kujichafua[emoji1787][emoji23]
  7. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Mbowe, mkanye Lissu

    Huyo anaweza akarudi Tz wananchi wenye hasira Kali wakamuteka bila serikali kujua
  8. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    GE2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

    Figisu wafanye kote wakijidanganya jimbo la mbeya kwa sugu wataipeleka nchi pabaya hilo lijulikane
  9. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    GE2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

    Hapo kweli pagumu sana ila kwa watawala sina shida! hofu ni figisu watakazo fanyiwa hao wapinzani wa upinzani mbona wataelewa nn maana ya chama tawala
  10. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    CHADEMA Watanzania wa leo si wa jana

    Hapana kwa mtazamo wako napinga kwani kila Mtanzania anavipaumbele vyake vya kuangakia kwenye siasa, kwahiyo labda kuna vitu vinawavutia huko ndio maana wanatoa ruksa yao kwa chama hicho! Hapo vipi White Wizard[emoji848]
  11. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    CHADEMA Watanzania wa leo si wa jana

    Ujumbe uwafikie wahusika , kama ni upinzani au watawala wachukue hoja hii Tanzania ifikishwe mahali wananchi tunapenda tufike[emoji1666] mtoa post big up kwako kwa kuliona hili kwenye vyama vyetu nchini
  12. MSOGOYA ZAKAYO JEMINUS

    Mahakama yamwamuru Lissu kufika mahakamani

    Dah ndio shida ya kuwa upinzani nchini kwetu, hill lazima limtese! ila kama kuna madai yoyote hakuna namna avumilie tu
Back
Top Bottom