😁 😁 Hamna mtu anayeweza kukupa siri ya mafanikio zaidi ya kukufanya fursa.Hawa ndo wale wanaopita na vitabu mitaani vyenye kanuni za jinsi ya kuwa tajiri 😀😀😀😀😀
'Kujua'J e kujua kusoma vitabu kunasaidia kuweza kujieleza?
Siri za mafanikio zipo 10001 na malaki mitandaoni na vutabuni.😁 😁 Hamna mtu anayeweza kukupa siri ya mafanikio zaidi ya kukufanya fursa.
We Abel??Ndiyo mkuu.
Mganga hajigangi na hata pia Kinyozi hajinyoiWewe ni tajiri tuanzie hapo?
jamaa mnamjibu hovyo ila yeye anajibu kitaalam sana
Utamaduni was kujisomea vitabu'Kujua'
Mafanikio ya wabongo yanatokana na:-
- Pete za bahati
- MAFUTA ya upako
- Maji ya baraka
- Mafusho ya kusafisha nyota
- pesa za majini
Nimeshaambatanisha kwenye comments za juu, pitia zote utaona.Kwel mkuu.Niko najifunza sana sales kwa sasa.Nimeesoma Computer science but for now sales naiona ni kitu muhim sana kwangu.Naomba ukiambatanishe hicho kitambu plz
VITABU VILIVYOANDIKWA NA KOCHA DR. MAKIRITA AMANI.Dr Makirita vitabu vyako vipo kwa Hardcopy?
Asante sana mkuu.Umeongea point mkuu maendeleo ni kujitoa
Ambatanisha mkuuMoja ya njia ambayo mtu yeyote anaweza kuitumia kutoka chini na kufanikiwa sana ni mauzo (sales).
Kama huna pa kuanzia kabisa, basi tafuta chochote na kiuze.
Jenga ushawishi na uza kama kichaa.
Mkuu kamwe usimdharau salesman yeyote yule, unaweza kuona anauza kitu cha kijinga, lakini akawa anapata kamisheni nzuri kuliko mshahara wa mtu anayekaa ofisini.
Japo unaweza kuwabeza na kuwacheka wanaouza vitu unavyoona siyo vya hadhi yako, jua kuna thamani wanatoa na kuna kitu wanaingiza.
Jifunze sales mkuu, soma kitabu cha Brian Tracy cha psychology of selling na kamwe hutokaa umbeze anayeuza chochote, huku kikikusaidia kupiga hatua.
Nakuambatanishia kitabu hapa kama utajali na ukisome.
Asante.
Wewe ni tajiri tuanzie hapo?
Nimeambatanisha tena hapa.Ambatanisha mkuu
Mafanikio ni msamiati mpana sana ambao tafsiri yake unategemea utashi wa mtu mmoja mmoja kulingana na mahitaji na nyakati alizonazo......
Ukisoma comments za huu Uzi ndio utajua IQ ya watanzania kwanini iko chini sana.
Kama mtu anashindwa ku-logic na kuwa analytical kwa hizo hoja kumi (10) anaenda kuhoji utajiri wa mleta mada na kuuza vitabu !!! Basi sishangai tunapata Viongozi wanaenda kujenga international airport Chato.
Ili uamini IQ ya watanzania Ni ndogo nimechukua huu Uzi nikamtupia rafik yangu mkoja mkenya Feedback ambazo kanipa ni tofauti na yanayoandikwa humu.
Watanzania tutahidi kuwa analytical. Simaaninishi ni lazima ukabaliane na Uzi ila kuwa na critics zilizojiegemeza kwenye hoja na sio mtu. Kuelekeza critics kwa mtu badala ya hoja hizo 10 ni moja ya dalili uwezo wetu wa kujenga hoja ni mdogo.
Haya ndio Mambo hata kwenye interview allkisimama mtanzania na mkenya tunaishia kuduwaa.