wandu waruwa
Senior Member
- Dec 20, 2020
- 133
- 96
Kwa hiyo ndiyo maana anambeep mama siyo?
Rwanda ndio nchi inalipa road toll ya dola 152 kwa truck kutoka Rusumo hadi Dar es salaam some good 1200 plus km,
Kwa kawaida Road toll hulipwa kutokana na umbali na kwa 1200 km halali ilitakiwa iwe region ya 500 plus usd,lakini kwa Rwanda protocals zilibadilishwa. Ni kama walipewa exemption ya kutumia barabara zetu bila malipo