Tanzania tuwe makini na Rais Paul Kagame, siyo mtu wa kuaminika

Kwa hiyo ndiyo maana anambeep mama siyo?
Rwanda ndio nchi inalipa road toll ya dola 152 kwa truck kutoka Rusumo hadi Dar es salaam some good 1200 plus km,
Kwa kawaida Road toll hulipwa kutokana na umbali na kwa 1200 km halali ilitakiwa iwe region ya 500 plus usd,lakini kwa Rwanda protocals zilibadilishwa. Ni kama walipewa exemption ya kutumia barabara zetu bila malipo
 
Ama kweli, nimeona kama marisasi halafu ngo'mbe zimefungwa mapembe...
Hio art inasema watz ni ng'ombe Ili waende tumia risasi watakwenda tu ile miale ya moto juu ni miale ya moto wa risasi wengine wakiona moto wa risasi watanyooka tu.Paka ni muumini wa luciferous principal anaamini kwenye risasi kama tool za kuwafanya watu wafanye ayatakayo na sio muumini wa sheria.
 
Utaambiwa Kigogo alisema.

Yaani wanavyo ongelea rais kutapeliwa kirahisi rahisi tu,yaani ni Kama vile mtu anavyomtapeli fundi nguo huko mtaani.

Ujinga mtupu.
Ukipiga nawe ukapigwa si unakufa nalo moyoni tu. Umeiba viazi nyumbani ukampa swahiba wako akufichie nae akakupiga utashtaki kwa nani sasa si unapiga kimya tu.
 
Kwenye msiba mkubwa wa jirani yake Jemedali aliyepiyltw ana wakati hakuja, amefanya mazungumzo ya nyuma ya mlango na Beberu Macron ndio anakuja Tz. Haaminiki huyu.
E/Africa nzima rais aliyekuja kwny msiba wa Mwendazake ni Kenyatta tu na Jamaa Lina akili Sana maana sasa hata Maziwa ya Kenyatta family(Brookside) yameanza kuingia Bongo kirahisi kabisa baada ya kua yamepigwa marufuku enzi za mwendazake,hahah.

Ikiwezekana Burundi, Uganda,Rwanda,Sudan Kusini zote tuzitenge maana hazikuleta Marais wao msibani,Kwanza sisi ni donor country.

BTW hivi mwendazake yeye alikua anasafiri kwenda kwny shughuli za wenzake huko nje?
 
kama PAKA aliweza kuzinguana na M7 aliyemlea na kumwajiri kwenye jeshi la uganda na aliyempa hifadhi na sapoti kupindua serikali ya Rwanda ya kipindi hicho( jua kuwa RPF walipofika kigali walikuwa wana advance wakitokea uganda kwa msaada wa m7), sisi tuna nini hata asitugeuke, kibri chake tu kipindi kile cha operesheni kimbunga kuwafurusha wanyarwanda tz ilikuwa ni somo tosha kutufunza kuwa huyu hafai, ikizingatia wanyarwanda tumewalea sana kama wakimbizi kwa miaka mingi hapa tz. ni wa kumweka pembeni, maza kama anatusikia awe makini na huyu kiumbe na ashughulikie hizo tozo mapema iwezekanavyo. heshima ya tz imepungua kidogo kwa miaka 6 iliyopita hata rwanda wanajiona tupo sawa wakati walikuwa kama burundi tu na tumewalisha na kuwahifadhi, siku hizi wanao uwezo kutunisha msuli kwetu, majuzi tu hapa alipiga marufuku cement ya tz kuingia rwanda, anapata wapi hizo nguvu, rwanda yaani rwanda....
Kwani M7 aliwekwa madarakani na nani?

Humu kuna chai nyingi kichizi,hakuna siku cement ya Bongo ilipigwa marufuku Rwanda.Hicho ulichoandika ni propaganda uchwara za vijarida vya Uganda baada ya bidhaa zao Kupigwa marufuku na PK kuingia Rwanda na hata kipindi kile cement iliadimika bongo baada ya kua inapelekwa kwa wingi Rwanda maana walikua wanatengeneza madarasa 22,000.

Kiwanda cha Hima Cement cha Uganda kina hali ngumu baada ya kushindwa ku access soko la Rwanda na Congo pia maana lazima wapitie Rwanda,Vinywaji Kama Waragi,Mafuta,Sabuni etc hali ngumu sasa hivi.Miji inayopakana na Rwanda kwa upande wa Uganda kwa sasa imegeuka kua ghost town.

Na kabla PK hajapiga marufuku bidhaa za Uganda alikuja bongo kwa ziara ya siku 1 akahakikishiwa na Magu kwamba uwezo wa ku supply tunao,sasa hivi Rwanda imejaa bidhaa tupu kutoka bongo from Cement,Mafuta ya kupikia,Konyagi na bidhaa zote za majumbani.

Na Kama hujui Rwanda ndiyo tuna export biashara kubwa kuliko nchi zote zinazotuzunguka,kuliko hata Congo,Kenya,Uganda etc,na bandari ya Dar ndipo wanapitishia bidhaa zao kwa 90%.

Tanzania's exports 2018 by country

Top export destinations of commodities from Tanzania in 2018:

Rwanda with a share of 18.6% (685 million US$)

Kenya with a share of 9.23% (338 million US$)

Dem. Rep. Congo with a share of 8.47% (310 million US$)

Zambia with a share of 7.27% (266 million US$)

Uganda with a share of 5.29% (194 million US$)

USA with a share of 4.08% (149 million US$)

China with a share of 3.94% (144 million US$)

Indonesia with a share of 3.72% (136 million US$)

Malawi with a share of 3.2% (117 million US$)

Belgium with a share of 2.7% (99 million US$)

Source:Trend economy.com
 
Kama kawaida, woga unaoongozwa na hisia ndio kiongozi wa waTanzania wengi. Kwani usishauri tupambane nae vipi kumshinda????
 
Yaani Kagame nae ni wa kuogopa, kweli Tanzania na raia wake ni majanga, yaani Magufuli amuogope kagame, yaani Magufuli aingizwe chaka na Kagame, upinzani wetu huu bhana no constructive ideas, mlipo ni kulalamika na kuzusha uongo, Kagame ni mdau mhimu katika bandari zetu, Kagame hana bad impacts yeyote kwa nchi yetu, Tanzania or Kenya hatuna democracy yeyote ya kuweza kuicheka Rwanda or Uganda, democracy is not only kuchagua Rais ndugu zangu, tujifunze kufanya biashara na mataifa yanayo tuzunguka in a positive way, sio kulalamika kwa kila jambo, by the way upinzani mnatakiwa kufocus zaidi kujadili agenda na jinsi ya kuondoa umasikini nchini, sio kung'ang'ana kujadili mtu, it won't take you any where.
 
Kwani M7 aliwekwa madarakani na nani?

Humu kuna chai nyingi kichizi,hakuna siku cement ya Bongo ilipigwa marufuku Rwanda.Hicho ulichoandika ni propaganda uchwara za vijarida vya Uganda baada ya bidhaa zao Kupigwa marufuku na PK kuingia Rwanda.

Kiwanda cha Hima Cement cha Uganda kina hali ngumu baada ya kushindwa ku access soko la Rwanda na Congo pia maana lazima wapitie Rwanda,Vinywaji Kama Waragi,Mafuta,Sabuni etc hali ngumu sasa hivi.Miji inayopakana na Rwanda kwa upande wa Uganda kwa sasa imegeuka kua ghost town.

Na kabla PK hajapiga marufuku bidhaa za Uganda alikuja bongo kwa ziara ya siku 1 akahakikishiwa na Magu kwamba uwezo wa ku supply tunao,sasa hivi Rwanda imejaa bidhaa tupu kutoka bongo from Cement,Mafuta ya kupikia,Konyagi na bidhaa zote za majumbani.

Na Kama hujui Rwanda ndiyo tuna export biashara kubwa kuliko nchi zote zinazotuzunguka,kuliko hata Congo,Kenya,Uganda etc,na bandari ya Dar ndipo wanapitishia bidhaa zao kwa 90%.

Tanzania's exports 2018 by country

Top export destinations of commodities from Tanzania in 2018:

Rwanda with a share of 18.6% (685 million US$)

Kenya with a share of 9.23% (338 million US$)

Dem. Rep. Congo with a share of 8.47% (310 million US$)

Zambia with a share of 7.27% (266 million US$)

Uganda with a share of 5.29% (194 million US$)

USA with a share of 4.08% (149 million US$)

China with a share of 3.94% (144 million US$)

Indonesia with a share of 3.72% (136 million US$)

Malawi with a share of 3.2% (117 million US$)

Belgium with a share of 2.7% (99 million US$)

Source:Trend economy.com
Thank you.
Tuna taifa la watu mbumbu ambao wamejigeuza great thinkers huwezi amini, yaani Tanzania iogope Rwanda? ni post ya aibu kuliko posts zote toka nije jamiiforums.
 
Thank you.
Tuna taifa la watu mbumbu ambao wamejigeuza great thinkers huwezi amini, yaani Tanzania iogope Rwanda? ni post ya aibu kuliko posts zote toka nije jamiiforums.
Mkuu humu JF watu hua wanaikuza Rwanda kuliko uwezo wake,utasikia mtu anasema tu kirahisi rahisi Magu analindwa na Walinzi kutoka Rwanda,kesho utasikia Tena Magu amedhulumiwa hela na PK .

Yaani ni mwendo wa hadithi za paukwa pakawa,esopooooooo.
 
Mzee Mstaafu Kikwete tafadhali mtahadharishe Rais Samia juu ya unafiki wa Kagame maana unamfahamu vizuri.

Kagame ni mtu mbaya sana na yuko radhi kufanya lolote ilimradi apore mali, leo hii taifa lijifunze hatutaki influence ya watu aina ya Kagame tena kwenye nchi yetu.

Kama nchi hatutaki kabisa Kagame na habari zake tena hapa yeye aendelee kuunda waasi wake huko DRC , aendelee kushirikiana na mabebebru kuiba rasilimali za Congo lakini hatutaki yajirudie kwetu hapa.

Hayati Magufuli alifanya kosa kubwa kumwamini.
Kwa hiyo influence ya Kenyatta ni sa ..au siyo?
 
Hili la kutapeliwa lilikuwa linakuja. Wale waliokamatqa na dhahabu kwanini Magufuli hakuwashughulikia anajidai anakomesha wizi na ufisadi?
Ule ulikuwa mzigo wake na Kagame na Askari hawakujua ndiyo ikatokea vile ilivyotokea.

Dunia hii umewahi ona wapi Rais anaingia Gerezani na kuwatoa watuhumiwa? Ni nini anachokijua kuzidi watu wa Polisi na Mahakama?
 
Back
Top Bottom