Huyu Rais wa Msumbiji ni Mmakonde mwenzetu au aliishi Bongo?

Nilishangaa tshekedi hajui kiswahili.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo anatokea jimbo jirani na kule Kinshasa, kule hawajui Kiswahili kabisa, na kwa kweli ni mbali sana kutokea mpakani na Tanzania.
Kwa mfano, Yondo Sister na angalau JB Mpiana anafahamu kidogo Kiswahili kwa kuwa majimbo yao ya asili angalau yapo Mashariki ya Congo, tofauti na Koffi Olomide, hajui kabisa Kiswahili kwa kuwa anakotokea ni kule Magharibi ya Congo. Na ilivyo Congo, kipenyo chake ni umbali mrefu sana.
 
Amezaliwa Masasi

Ameenda Mozambique akiwa mchanga

Ni kama Rais wa zamani wa Malawi Bakili Muluzi alikuwa Kabila moja na Hayati Mzee Mkapa, wote walikuwa Wamakua
 
Aliishi sana Tanzania wakati wa harakati eneo moja mkoani Morogoro kunaitwa Mang'ula

Tanzania inapaswa kuheshimiwa sana sema tu Mwafrica haheshimu historia yake
Jaribu kumtafuta Rais mstaafu wa Mozambique Joachim Chissano umsikilize pale anapowasiliana kwa Kiswahili, utashangaa zaidi.
 
Watu wengi hasa viongozi wa nchi ya Msumbiji waliishi Tanzania wakati wakipigania Uhuru wa nchi yao!
 
unaposikia TANZANIA NA MSUMBIJI NI NDG , hivi ndio viashiiria vyake. UHURU WA NCHI YA MSUMBIJI. ulipatikana kutokana na juhudi za chama cha FRELIMO kupiga kambi yake TANZANIA KAMA KITUO KIKUU CHA HARAKATI ZAKE , WALIKUWA NA KAMBI KUUBWA P[ALE MOROGORO ENEO LA Mazimbu, na kwa Dsm pale kilipo chuo cha Deplomesia ndipo ilipokuwa kambi yao. wamekaa muda mreefu saana tangu harakati hadi kupatikana uhuru , wameoa na kuolewa hapa. na hata baada ya kupata uhuru waliambiwa wanaotaka warudi, na kwao wasiotayari wabaki tu Tanzania. haya ndio majibu kwa mujibu wa ufahamu wangu juu ya swali lako.
pia eneo lile la kambi ya twalipo hadi chuo cha uhasibu pote pale zilikua kambi za wakimbizi wa msumbiji na wanakarabati majengo bado yapo japo mengine yameendelezwa
 
pia eneo lile la kambi ya twalipo hadi chuo cha uhasibu pote pale zilikua kambi za wakimbizi wa msumbiji na wanakarabati majengo bado yapo japo mengine yameendelezwa
Pia Nyusi kapata mafunzo ya Kijeshi kambi ya Nachingwea
 
Amezaliwa Masasi

Ameenda Mozambique akiwa mchanga

Ni kama Rais wa zamani wa Malawi Bakili Muluzi alikuwa Kabila moja na Hayati Mzee Mkapa, wote walikuwa Wamakua
Nyusi kasoma shule ya msingi Tunduru......then akarudi kwao cabo delgado na baadae akaja kuoata mafunzo ya kijeshi kambi ya Nachingwea so ni mtu aliyekulia mazingira ya kitabzania so Kiswahili rahisi kujua
 
Babu zake ni watu wa Mtwara/ni mmakonde wanatokea north region kwy mji wa Pemba.Huyo ni Mtanzania mwenetu kabisa yani.
 
Na kasoma shule ya msingi Tunduru
... ila Tanzania mezalsha hawa watu. Kwa uchache waliowahi Tanzania ni hawa:-
  1. Felipe Nyusi - Rais wa Msumbiji - Sekondari
  2. Jose Kabila (DRC) - Sekondari.
  3. Yoweri Museveni (Uganda) - UDSM
  4. John Garang (S. Sudan) - UDSM
  5. etc. etc. etc.
 
Watu Wa msumbiji wengi wanaongea kiswahili niliona hara mkuu Wa majeshi na mkuu Wa mesh LA polis wanaongea kiswahili fasaha kabisa utafikili wabongo.sio kama wakenya
waliokaribu na ukanda wa pwani yetu, na mto ruvuma, sababu kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya mtwara na ruvuma na kwao....
 
Back
Top Bottom