Bila shaka huyu jamaa ni mganga wa kienyeji wanaowadanganya watu. Saizi hana wateje anaona kama Babu ndiye kamharibia dil. Pole sana tafuta kazi nyingine watu wamepata mponyaji wa kweli. Hongera babu na uishi milele.
Natumia moderms ya Vodacom, haina shida yoyote kwa speed, coverage na cost. Nilishatumia ya Zantel na Airtel matatizo yake sitaki tena kuyarudia. Am now settled.
Nitashangaa kama baadhi ya watu hawataachia ngazi hata kwa jambo kama hili. Ni maboom yanaendelea kulipuka hadi sasa. Eti wanatushauri tukakae mabondeni wakati hata hawasemi yataisha saa ngapi. Jamani hii ni serious sana wananchi hawana cha kufanya wala hamna directions zozote za maana kutoka...
Mimi niko Arusha, habari tulizozipata ni kwamba wale walikuwa ni majambazi na wameiba kwenye duka la jirani na pale idara ya maji. Wakiwa wanaondoka wakamwona askari na wakahisi anaweza kuwadhuru, kujiwahi wakaamua kumpiga risasi. Yule askari alikuwa akisubili wenzake ambao pia walikuwa wapo...
Kwa taarifa tu hata hayo maandishi hajapeleka, Speaker anapingana na kanuni. Ni lazima awasilishe kwa kuongea sio maneno. Nyie CCm acheni upenzi usio na maana angalieni fact. Waziri hawezi kudanganya sisi tusio na pakusemea tukae kimya na walio na pakusemea pia wakae kimya. Huo utakua ni upuuzi...
Nadhani CUF ndo chama kinachofuatiwa kuwa kwa CDM kwa ukubwa, Shida yao wamejiunga na CCM ndo maana inakuwa taabu sana kwa CDM kuwatambua na kuungana nao> hilo liko wazi kabisa.
Nilivyosoma kwenye michuzi pia ilinishangaza na kunikasirisha sana. Lakini baadaye nikaelewa kwamba kesi haijafutwa ila kwa upande wa serikali ushahidi umekwisha sasa tunasubili amri ya mahakama kuamua kama watuhumiwa wana hatia ama la? huo ndo uelewa wangu jaman.
Nchi yeyote yenye wananchi makini na uongozi makini haiwezi lipa pesa kama za dowans. sana sana kitu ambacho kingekuwa kinaongelewa hapa ni kuwajibishwa kwa viongozi wote waliohusika na hii mikataba ya kijinga kama ya Dowans.
Jamani Uhuru ni gazeti gani??? kumbe bado lipo?
Makamba asibwatuke hovyo sio Watanzania wote wasiosoma, Kuna watu na elimu zao> anajidhalilisha. Bora afunge mdomo kuliko kujibu hoja za watu wa Mungu.Tena asiwatishe awaache wafanye kazi zao kwa uhuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.