Hivi vitu vinashabihiana mwanaume hivyo hivyo msili na majina yalivyoseviwa Sas funding bomba,mpaka rangi, ukimfanyia mwenzako na wew yatakukuta tu,(what goes around comes around) ndio utakapojua kuwa sio vizuri kuchiti ila ikifika zamu yako au yake mkali simba hafai
Kiukweki sio uzungu Mimi napenda nyimbo zinazipigwa kama band nasikia raha kuxisikiliza,namkubali john lisu,upendo nkone ,olso gospel choir, kirk Franklin,Vicki yohe,Darlene zsches,Joyous celebration,Don Moen etc
Pesa yanunua watu itashindwa kuua, haiingii akilini kweli mtuhumiwa kanywa sumu yeye kaitoa wapi kama muda wote alikuwa mahabusu,kuna kitu nyuma ya pazia#
Ukishikwa na uchugu kama ni muuguzi wa kiume huzai,acha mwembwe ukibanwa unaachia mwenyewe kwani anakipeleka wapi si anakusaidia kukutibu halafu anasepa zake,think twice brother or sister
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.