Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,889
Darlene baada ya kuondoka nikajua Hillsong itayumba ila ndo wanabamba zaidi..
Kwani Darlene kaacha kuimba nao? Kwa nn aliondoka?
Darlene baada ya kuondoka nikajua Hillsong itayumba ila ndo wanabamba zaidi..
Ta...ta ra ta ra ta taa
Ta..ta ra ta ra ta taa
Righteousness,.. peace...joy in the Holy Ghost..
Righteousness peace and joy in the Holy Ghost that's the Kingdom of God..
Don't you wanna be a part of the Kingdom x3
C'mon everybody...
Siku nyingi...Aliamua kuanzisha Kanisa lake kule kule Australia.Kwani Darlene kaacha kuimba nao? Kwa nn aliondoka?
Uzungu unawazidi nyie sikilizeni ""ipo faida ""ya upendo nkone
Siku nyingi...Aliamua kuanzisha Kanisa lake kule kule Australia.
Ndo yeye....Aiseee... Hivi huyu hakuwa mke wa pastor Houston yule mwenye kanisa la Hillsong? Au nachanganya?
Mdau ningeomba msaada unitumie kwa pm nyimbo zao zote ulizokuwa nazo unisaidie maana mimi nilichukua live performance yao nitashukuru sana aiseNiambie ulizonazo afu nicheki mie ninazo nyimbo zao nyingi tu
aah ile live ya montreal?Mdau ningeomba msaada unitumie kwa pm nyimbo zao zote ulizokuwa nazo unisaidie maana mimi nilichukua live performance yao nitashukuru sana aise
TEH TEH nadhani ilikua france kama sijakosea maana walikua wanaongea kifaransa inapatikana youtube Mdau nangojea msaada wako aiseaah ile live ya montreal?
ile ilkuwa canada si mwisho wamepiga sebene moja matata?TEH TEH nadhani ilikua france kama sijakosea maana walikua wanaongea kifaransa inapatikana youtube Mdau nangojea msaada wako aise
kweli kabisa mwisho wamepiga mbonge moja la sebene aise ok kumbe ilikua canada safi sanaile ilkuwa canada si mwisho wamepiga sebene moja matata?
kiongozi nimesumbili PM naona hakuna ulichonitumia waweza kunisaidia link ya nyimbo zao krystaal nizidownload asante sanaJc mbona wanawekaga na lyrics ukiingia fb wana page yao ya lyrics for jc
Mkuu nipm namba yako nitakutumia kesho whatsappkiongozi nimesumbili PM naona hakuna ulichonitumia waweza kunisaidia link ya nyimbo zao krystaal nizidownload asante sana
Mkuu siko huko zaidi ya jamii forum aise naomba msaada wako ata pm ama link nidownload maana siku ya leo yote nimekua nangojea hizo nyimbo sababu nawakubali sana hawa vijana wa rwamba fanya unisaidie aise kiongozi!!!!!!!!!Mkuu nipm namba yako nitakutumia kesho whatsapp
God of my Mountain by linda
Mkuu zipo kwenye laptop kutuma kwa huku nadhani itanicost ndo mana nikaomba namba afu jamaa nyimbo zao ngumu kuzipata udownload hata youtube wameweka chache sanaMkuu siko huko zaidi ya jamii forum aise naomba msaada wako ata pm ama link nidownload maana siku ya leo yote nimekua nangojea hizo nyimbo sababu nawakubali sana hawa vijana wa rwamba fanya unisaidie aise kiongozi!!!!!!!!!
kiongozi ninaweza kukutumia namba yangu ya whatsapp PM unisaidie hizo nyimbo za krystaalMkuu nipm namba yako nitakutumia kesho whatsapp
poa haina nenokiongozi ninaweza kukutumia namba yangu ya whatsapp PM unisaidie hizo nyimbo za krystaal