REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
Ishi Zanzibar au Chuga utapata tu Demu wa kizungu
chuga huku wameisha wapo kilimanjaro
Ishi Zanzibar au Chuga utapata tu Demu wa kizungu
Haswaaaa....ukizingatia hawa ndio waandamanaji wakubwa wakosapo mikopo...
Nenda U-turn Blog | u turn blog search mada za nyuma utapata maelekezo yote kuhusu hitaji lako. Kuna website pia ilitolewa Match.com® | The Leading Online Dating Site for Singles & Personals ambayo pia km skosei kuna monthly fees. Kasome huko utapata details. Your life your choices, your life your rules.... Kila la heri.
Sasa tatizo huna hela,ningekuunganisha na hao watu fasterAhsante. Nimeshajiregister 'www.match.com' Najipanga niweze kulipia then nianze chatting na warembo wa kizungu
Sasa tatizo huna hela,ningekuunganisha na hao watu faster
Sasa tatizo huna hela,ningekuunganisha na hao watu faster....Ahsante. Nimeshajiregister 'www.match.com' Najipanga niweze kulipia then nianze chatting na warembo wa kizungu
Hapana,sasa hela ya kulipia Match.com anaiwaza sasa nikumuunganisha na hao watu then akihitajika kuonana naye nchi flani si ndo itakuwa balaa,let say ni M-thai,Mmarekani au mfilipino akihitaji aende kwao itakuwaje?and swali atakaloulizwa baada ya kufahamiana siku mbili tatu litakuwa what do you do for living,wakisikia am still looking mara blah blah, watamkimbia tu lazimaUnamuunganishia kwa hela??
Ahsante nitaifungua. Do they need payments? Au si ya kulipia?
Hapana,sasa hela ya kulipia Match.com anaiwaza sasa nikumuunganisha na hao watu then akihitajika kuonana naye nchi flani si ndo itakuwa balaa,let say ni M-thai,Mmarekani au mfilipino akihitaji aende kwao itakuwaje?and swali atakaloulizwa baada ya kufahamiana siku mbili tatu litakuwa what do you do for living,wakisikia am still looking mara blah blah, watamkimbia tu lazima
Ni ya kulipia as I saw huko kwa mange walioko nje wanaweza kikujuza zaidi
Yes nmeona fees zao. Km nikiona kufanya online payment kwa mimi mwenyewe inanizngua ntamtafuta Mange aweze kunisaidia
Ntakufanyia bure kwa visa card yangu km utahitaji wewe utatoa tu ile amount hisika. Labda km watachaji direct cost za visa card
Aisee we mi mutoto muzuri sanaNtakufanyia bure kwa visa card yangu km utahitaji wewe utatoa tu ile amount hisika. Labda km watachaji direct cost za visa card
Beutyful gal with a beutyful mindNtakufanyia bure kwa visa card yangu km utahitaji wewe utatoa tu ile amount hisika. Labda km watachaji direct cost za visa card
rules no 1 fuga rasta
rules no2 beba chuma
rules no 3 ishi ufukweni
rules no 4 vaa ndala olways
rules no usikauke kwenye hotel za kitalii na uwe mpenzi wa kuvaa bukta fupifupi.............etc
Masharti magumuhizi swaga nimeZIPENDA
mkuu ingia kuna website moja inaitwa www.datanta.com kaz kwako sasaHabari wadau! Mimi ni kijana wa miaka 27, Elimu yangu ni shahada ya kwanza. Natamani nimpate mchumba wa kizungu lakini sijui nianzaje.
Nahitaji awe wa rangi (race) zote Dunianiisipokuwa Mwafrika (mweusi). Kwa yeyote anayeijua website au link yoyote itakayoniwezesha kupata msichana mzungu naomba anisaidie.