Niliyoyaona inbox za mke wangu

Niliyoyaona inbox za mke wangu

huo ni ujinga uliopita viwango kwa sasa nikioa tena siwezi kukubali upumbavu huo
ili iweje kwann
kuna siri kubwa kama sehemu za siri ambazo naziona kila siku
sembuse nisishike simu yake au asishike yangu
huo ni ujinga tuachane na mambo hayo huyu ni mkeo/mumeo si mpenzi
huo usemi bahari hailindwi ni ujinga
Jipe moyo utaumia kila siku kwa wanawake wa siku hizi.
 
Ukiona mwanamke mwenye umri kuanzia 18-50 analia njaa we tambua tuu amependa mwenyewe.
Hawa viumbe wana marafiki wengi bwana, leo akipata shida kwake sio tatizo kwani ana pa kukimbilia.
Nadhubutu kusema hawa wanawake wameteka utajiri wa hii dunia.


Leo katika ujasusi wa wangu nimefanikiwa kuchunguza inboxza mke wangu za facebook na insta nilichokiona huko sio vibaya ku share nanyi.

Pia mtambue hakuna urafiki mbele ya mwanamke na hapa ndio ule msemo wa hakuna ushemeji tunatulaga unatimia.

Wife kaenda shamba asubuhi nikasema ngoja niipekue simu yake.
Nilipata hili wazo jana baada ya kuona lock pattern yake na nikasema iko siku nitamcheki tuu na hatimaye leo nimeweza kuona.

Sio marafiki zangu, mashemeji zangu tunaosalimiana huko barabarani eti wanamtaka wife japo siku moja na ahadi nyingine kibao!

Nimekuta mi msg nyingi mno, fb nimekuta 720 na uzuri zote read so mimi sikuona shaka kufungua na kuona kilichomo.
Insta nimekuta msg 421 huko nako nimekuta mambo kibao.

Huyu mwanamke nashukuru sana Mungu kwa kunipa maana angekua ni kicheche basi nisinge ambulia chochote hapa.

Wanaume wenzangu kweli ukiona mwanamke kajitiolea kwa ajili yako maisha yake yote plz and plz naomba umuheshimu kwani kaona wanaume wa kila aina lakini amekuacha ili awe wako.


ONYO: Kwa mwanaume yoyote yule ambae hajajipanga kukabiliana na hali ya hatari hapa duniani basi usimpekue sana mkeo vinginevyo utakufa kwa kupata mshtuko kali au hata kuuwana na mahawara wako na mtagombana na wife na hatimaye na wale marafiki zako.

We usiamini mtu kabisa chukulia mambo easy. Ukiona umeoa mwanamke mwenye maadili mema na mvumilivo kwa kila baya unalomtendea plz mheshimu na ikiwezekana mpigie magoti umlilie kama mtoto kama unapenda penzi lako lidumu!

Hasira za wanawake zimewaingiza wengi kaburini hivyo hata akikisea usikasiirike sana wala kuweka kinyongo. Kuwa kama mwanaume bana hawa ni maua ya duniani kila mwanaume anayatamani.
Ila sijui kama wanawake na wao wanapendana kwa kweli maana kwa haya mambo mbona ni hatari sana.
[emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23]!
 
unakumbuka mkuu kilichonikuta baada kutumia whatsapp web mpk leo chalii
sina mke mwenzio wanawake washenzi sana

Pole sana mzee mwenzangu mie ile tracker niliokuwa na upepo nayo hadi nikafundisha na wengine namna ya kuitumia humu ndani, imekuwa yamoto kama pasi mpya sina hamu mzee...Ilifikia stage nikaona hata menu hazipandi yalotokea mle week kadhaa nyuma ni mazito. Namuogopa sana mwanamke na nmeamini kweli tofauti yao ni rangi ya chupi na sketi ila ni kweli ni walewale mkuu hakuna mwenye jema!
 
Pole sana mzee mwenzangu mie ile tracker niliokuwa na upepo nayo hadi nikafundisha na wengine namna ya kuitumia humu ndani, imekuwa yamoto kama pasi mpya sina hamu mzee...Ilifikia stage nikaona hata menu hazipandi yalotokea mle week kadhaa nyuma ni mazito. Namuogopa sana mwanamke na nmeamini kweli tofauti yao ni rangi ya chupi na sketi ila ni kweli ni walewale mkuu hakuna mwenye jema!
Mkuu tuhadithie kisa chako basi tupate walau somo.
 
Cjui tunakuja tutakuja kuoa wanawake gan maaana hata mwinde kushaharibika hakuna waschokijua
 
Kina mama wanaocheat wapo fasta sana kufuta meseji zote hatarishi. Yaani wamebobea kiasi cha kukariri namba zoote za vidume vyao bila kusave majina. Yaani hata ikitokea meseji imekamatwa ( which is very rare...), she can simply deny na kudai hiyo ni wrong number.

Hivi vitu vinashabihiana mwanaume hivyo hivyo msili na majina yalivyoseviwa Sas funding bomba,mpaka rangi, ukimfanyia mwenzako na wew yatakukuta tu,(what goes around comes around) ndio utakapojua kuwa sio vizuri kuchiti ila ikifika zamu yako au yake mkali simba hafai
 
mie nilikagua siku moja,niliyoyakuta humo ,niliapa sitarudia tena kuishika simu yake hata akiniomba nimuwekee kwenye chaji,naiheshimu sana simu yake,ningekufa kwa presha,nilipaniki nikamchapa chupa ya bia kichwani mpaka ikampasukia,ningemuua aisee,toka siku hiyo simchunguzi wala kumfuatilia.
duh pole sana mkuu,ungekua nyuma ya nondo now,tunakuletea vichane vya ndizi tu
 
Ukiona mwanamke mwenye umri kuanzia 18-50 analia njaa we tambua tuu amependa mwenyewe.
Hawa viumbe wana marafiki wengi bwana, leo akipata shida kwake sio tatizo kwani ana pa kukimbilia.
Nadhubutu kusema hawa wanawake wameteka utajiri wa hii dunia.


Leo katika ujasusi wa wangu nimefanikiwa kuchunguza inboxza mke wangu za facebook na insta nilichokiona huko sio vibaya ku share nanyi.

Pia mtambue hakuna urafiki mbele ya mwanamke na hapa ndio ule msemo wa hakuna ushemeji tunatulaga unatimia.

Wife kaenda shamba asubuhi nikasema ngoja niipekue simu yake.
Nilipata hili wazo jana baada ya kuona lock pattern yake na nikasema iko siku nitamcheki tuu na hatimaye leo nimeweza kuona.

Sio marafiki zangu, mashemeji zangu tunaosalimiana huko barabarani eti wanamtaka wife japo siku moja na ahadi nyingine kibao!

Nimekuta mi msg nyingi mno, fb nimekuta 720 na uzuri zote read so mimi sikuona shaka kufungua na kuona kilichomo.
Insta nimekuta msg 421 huko nako nimekuta mambo kibao.

Huyu mwanamke nashukuru sana Mungu kwa kunipa maana angekua ni kicheche basi nisinge ambulia chochote hapa.

Wanaume wenzangu kweli ukiona mwanamke kajitiolea kwa ajili yako maisha yake yote plz and plz naomba umuheshimu kwani kaona wanaume wa kila aina lakini amekuacha ili awe wako.


ONYO: Kwa mwanaume yoyote yule ambae hajajipanga kukabiliana na hali ya hatari hapa duniani basi usimpekue sana mkeo vinginevyo utakufa kwa kupata mshtuko kali au hata kuuwana na mahawara wako na mtagombana na wife na hatimaye na wale marafiki zako.

We usiamini mtu kabisa chukulia mambo easy. Ukiona umeoa mwanamke mwenye maadili mema na mvumilivo kwa kila baya unalomtendea plz mheshimu na ikiwezekana mpigie magoti umlilie kama mtoto kama unapenda penzi lako lidumu!

Hasira za wanawake zimewaingiza wengi kaburini hivyo hata akikisea usikasiirike sana wala kuweka kinyongo. Kuwa kama mwanaume bana hawa ni maua ya duniani kila mwanaume anayatamani.
Ila sijui kama wanawake na wao wanapendana kwa kweli maana kwa haya mambo mbona ni hatari sana.
Mkuu tambua kuwa mwanamke asipotongozwa hawezi kujisikia vzr lkn pia hao wanaomtongoza wamekupa akili na adabu mbele ya mkeo

Lkn pia anaweza akadukuliwa na akaliwa vzr sana maana yy anaandika na kufuta zake za kwao zinabaki harafu mwanamke mjanja anayetoka naye huwez kuta sms zake wajanja sana
We piga tarumbeta tu lkn inawezekana anadukuliwa swafiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom