Recent content by Msafwa wa swaya

  1. M

    BUNGENI DODOMA: Majibu ya Jaffo kwa walimu wa Arts na Sayansi

    Uliweka mkataba Wa ajira na serikali mbona unaulizia silaha?uraiani umekuchoka wewe inatakiwa uhifadhiwe
  2. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Shikamoo kaka Nkanga chief?
  3. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Aleyn nakuaminia sana mkuu toka mwezi wa 12 ulitangaza nia ya nafasi hizi sembuse zimebaki wiki tu waziii AFANDE tunakutegemea
  4. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Mlikuwa mnaulizwa maswali kaka ndo unakaguliwa vyeti au ilikuaje?Msaada kwa hilo
  5. M

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Mungu awe nanyi wazalendo mtujuze yanayojili huko
  6. M

    mpenz wa rafiki

    Ndo vitu vya kuomba ushauri hivyo eeeee karibu Dr Ndalichako ulete heshima kichwan Mwa vijana wetu
  7. M

    Waalimu wa science tukutane hapa!!!

    Ualimu mgumu sana kila MTU anataman kutoka hii ni kutokana kutothaminiwa na maafisa Elimu,waratibu ukienda Boman ukiwa na Shida lazma utishwe Mara lete barua ya ruhusa,Mara Mbona hujachomekea Afisa anayekwambia kavaa suti na sendors, kupanda daraja unaandika barua mwez January inajibiwa november...
  8. M

    Mrejesho: Nipo njia panda

    kipindi kama hiki kwa mwanamke hujiingiza kwa nguvu kukomoa matokeo yake anazalishwa na kutekelezwa sasa Wewe Mkuu muwazie mapungufu yake kichwan kwako usiwaze hata kdogo mazur yake jitukane kwamba MTU amenisalit Alaf nataka niendelee nae haiwezekaniii m mkali kuwa makin unaweza jikuta unagonga...
  9. M

    Waalimu wa science tukutane hapa!!!

    Mfano serikali ikaboresha mahitaji yote ya walimu wa sayansi Je walimu wa lugha ya kufundishia endapo hawatawajibika ipasavyo unaweza kufundisha hiyo Science? zaidi tutapata wataalam wasiojua lugha hata hivyo vifaa vya kizungu au kichina watatumiaje?ndo hao badala ya kufanya opereshen ya mguu...
  10. M

    Waalimu wa science tukutane hapa!!!

    Tunaelimishana Mkuu wala sijapaniki,Ni hivi suala la nyie kujihusisha na taaluma ya maabara ni miongoni Mwa majukumu yenu wewe hapo ulipo una fani zote Mwalimu ni Daktari,kumpatia huduma ya kwanza mwanafunzi anapoumwa,ni hakimu kusuruhisha migogoro,ni mhasibu nk. sasa baadhi ya shule huajiri...
  11. M

    Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

    Tupo wengi sana Mkuu japo wengine huwa hawa comment!
  12. M

    Waalimu wa science tukutane hapa!!!

    Hapo ni hongera Mkuu lakini hao waendesha Bodaboda wangeanza kubaguana kuwa waendesha Bodaboda aina ya boxer,T better hawatafika.kiujumla ni kupaza saut kwa pamoja
  13. M

    Waalimu wa science tukutane hapa!!!

    Haya ndiyo yanayofanya walimu tudharaulike eti "WALIMU WASAYANSI" ivi wewe Mwalimu wa sayansi peke yako mwanafunzi atafikisha GPA ya 1.6 kuwa na sifa za kujiunga kidato cha tano au kujiunga na health certificate?kikubwa tuungane Walimu wote na kujaribu kupaza sauti kwa pamoja na ukumbuke...
Back
Top Bottom