fab280391
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 122
- 31
nimecoment kui_update hii post hadi ifahamike nafasi zinatoka lini
not a bad Idea.. keep in touch
nimecoment kui_update hii post hadi ifahamike nafasi zinatoka lini
nimecoment kui_update hii post hadi ifahamike nafasi zinatoka lini
nimecoment kui_update hii post hadi ifahamike nafasi zinatoka lini
Mambo vp wadau? Kuna tetesi zozote kujua ni lini nafasi zinatoka? 🙂
Kambi ya jkt Kabuku Tanga.. wanamaliza mafunzo tarehe 22 January 2016. ni Taarifa kutoka kwa mdogo wangu yupo huko.
Duh mbona vijana wanaapa j3 tar 28 mwezi huu wa 12 kesho kutwa
Na hii ndio taarifa sahihi.
Tarehe 28-12-2015 ambayo ni J3 Ruvu watakuwa wamemaliza rasmi koz yao.
Source ni luteni usu wa hapo Ruvu JKT nimeongea nae leo.
mbona hamuulizii nafasi za police???? au magereza???
Uzalendo tuu!siku hizi jkt inatafutwa kama rubi kulikoni vijana? ama ndo kusema mmekuwa wazalendo zaidi au mwatafuta ajira tu?