Waalimu wa science tukutane hapa!!!

Waalimu wa science tukutane hapa!!!

Mfano serikali ikaboresha mahitaji yote ya walimu wa sayansi Je walimu wa lugha ya kufundishia endapo hawatawajibika ipasavyo unaweza kufundisha hiyo Science? zaidi tutapata wataalam wasiojua lugha hata hivyo vifaa vya kizungu au kichina watatumiaje?ndo hao badala ya kufanya opereshen ya mguu wanafanya opereshen ya kichwa

Nimekupata Mkuu,lakini umekosea unaposema kufundisha practicals ni sehemu ya majukumu ya mwalimu wa sayansi,hiyo siyo kweli,hiyo ni taaluma inayojitegemea,na ukitaka kuthibitisha hilo,nenda pale UDSM,wanafunzi wanaosoma ualimu wa sayansi wanaambiwa kama unataka kusoma maswala ya maabara unapaswa kulipa Tsh.900,000/= kama ada tofauti na ada yako ya kozi ya ualimu wa science,kwa hiyo shughuli ya practicals haifanani kabisa na habari ya kuwashauri wanafunzi kwa maswala ya kila siku kitaaluma.
 
Mfano serikali ikaboresha mahitaji yote ya walimu wa sayansi Je walimu wa lugha ya kufundishia endapo hawatawajibika ipasavyo unaweza kufundisha hiyo Science? zaidi tutapata wataalam wasiojua lugha hata hivyo vifaa vya kizungu au kichina watatumiaje?ndo hao badala ya kufanya opereshen ya mguu wanafanya opereshen ya kichwa

Nimekupata Mkuu,lakini umekosea unaposema kufundisha practicals ni sehemu ya majukumu ya mwalimu wa sayansi,hiyo siyo kweli,hiyo ni taaluma inayojitegemea,na ukitaka kuthibitisha hilo,nenda pale UDSM,wanafunzi wanaosoma ualimu wa sayansi wanaambiwa kama unataka kusoma maswala ya maabara unapaswa kulipa Tsh.900,000/= kama ada tofauti na ada yako ya kozi ya ualimu wa science,kwa hiyo shughuli ya practicals haifanani kabisa na habari ya kuwashauri wanafunzi kwa maswala ya kila siku kitaaluma.
 
Duh mie hua nawahurumia walimu wa MATHEMATICS maana wanaToil balaa....Vipindi vyao ni vingi alafu kila siku alafu lazima wasahihishe madaftari ngoja yaje matokeo ni Mabovu balaa....Ili kundi la walimu wa math kwakweli liangaliwe upya maana mzigo wanaopiga ni zaidi ya wabeba mizigo
 
Duh mie hua nawahurumia walimu wa MATHEMATICS maana wanaToil balaa....Vipindi vyao ni vingi alafu kila siku alafu lazima wasahihishe madaftari ngoja yaje matokeo ni Mabovu balaa....Ili kundi la walimu wa math kwakweli liangaliwe upya maana mzigo wanaopiga ni zaidi ya wabeba mizigo

Nakubaliana na wewe lakini hapa tulilenga wanaofanya kazi za practicals wakati ni taaluma inayojitegemea!!!
 
Na sio hilo tu,kuna mabadiliko makubwa huko duniani kuhusiana na maswala ya ufundishaji wa Science,ambapo sisi kama wawezeshaji na wajenzi wa misingi imara ya kisayansi hatupaswi kubaki nyuma kiasi hiki,ni muhimu tukashirikiana na serikali yetu kuijenga misingi hiyo ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya kisayansi duniani,kwa sasa si sawa kumuandaa daktari kwa kufanya ALTERNATIVE TO PRACTICALS,zilishapitwa na wakati,hayo ni miongoni mwa mambo ambayo tunapaswa kukaa chini na serikali yetu,kuyarekebisha!!!
 
Ualimu mgumu sana kila MTU anataman kutoka hii ni kutokana kutothaminiwa na maafisa Elimu,waratibu ukienda Boman ukiwa na Shida lazma utishwe Mara lete barua ya ruhusa,Mara Mbona hujachomekea Afisa anayekwambia kavaa suti na sendors, kupanda daraja unaandika barua mwez January inajibiwa november Saiv ni Kupambana hakuna wa kumwogopa dai haki yako.
 
Ualimu mgumu sana kila MTU anataman kutoka hii ni kutokana kutothaminiwa na maafisa Elimu,waratibu ukienda Boman ukiwa na Shida lazma utishwe Mara lete barua ya ruhusa,Mara Mbona hujachomekea Afisa anayekwambia kavaa suti na sendors, kupanda daraja unaandika barua mwez January inajibiwa november Saiv ni Kupambana hakuna wa kumwogopa dai haki yako.

Nadhani woga wetu unatugharimu,watu wanakuwa inferior sana kiasi cha hata hao maafisa elimu kujiona kama miungu watu,the way unavyoi approach ofisi ndivyo unavyopokelewa,ukijiamini hakuna mtu atakusumbua kwa namna yoyote ile,hizo ni ofisi za umma,sio mali ya mtu binafsi,tujiamini!!!
 
Wanajopo kuna watu kadhaa waliojitokeza kuungana nasi katika umoja wetu huu mpya,mkumbuke,lengo la kuanzishwa kwa umoja huu siyo kuiua CWT,malengo ya CWT na malengo ya TANZANIA SCIENCE TEACHERS UNION (TSTU) hayafanani hata kidogo,karibuni sana!!
 
Kitu kimoja lazima kieleweke wazi; mwl wa sayansi ni mfundishaji wa darasani na practical ni kaz ya lab technician

Tatzo la nchi yetu, hakuna lab technicians hivy walm wa sayans wanafundsha practical ambayo kimsing ni extra duty tena bila malipo, hicho ndcho kinacholalamikiwa na walm wa sayans
 
Mimi nafikiri walimu wa science kila mara ni wenye kujiona duni na hawajivunii au kukubali career yao Na wamekuwa wakijihisi wakosaji mpaka wameingia ualimu kiukweli hili lina undermine elimu yetu kwani kila Teacher haswaa aliepiga Pcb , A level basi plan yake ni kuchomoka walau akasome clinical officer au Pharmacy yani mguu mmoja ndani mwingine hii sio nzuri eliminishaneni mbadilike
Mimi nafikiri walimu wa science kila mara ni wenye kujiona duni na hawajivunii au kukubali career yao Na wamekuwa wakijihisi wakosaji mpaka wameingia ualimu kiukweli hili lina undermine elimu yetu kwani kila Teacher haswaa aliepiga Pcb , A level basi plan yake ni kuchomoka walau akasome clinical officer au Pharmacy yani mguu mmoja ndani mwingine hii sio nzuri eliminishaneni mbadilike
Ni kwel mkuu, mimi pia, napanga kuchomoka nikapige CO,
 
Ho
nawashangaa sana Mwalimu wa sayansi.

umeteseka sana. niny ndio mnawadumaza walim wa arts
How wanatudumaza? Sayansi ni innovation & discoveries as well as research and publications. Sasa kama mnaishia kukariri zile principles, rules na balancing equations is more likely history in science. Fanyeni publication, andikeni paper and gundueni vitu. Bora hata walimu wa arts wanaandika hata mistari like Mimi ni mgumu naishi kwenye dumu and alike!!
 
Tulia hivyo hivyo ulivyo wewe mwalimu wa sayansi. Hayo ndo malipo yako ya kutofanya vizuri darasani, ungejipatia div 1 or 2 usingekuwa mwalimu. Wewe ni mwalimu tu kama alivyo mwalimu wa uraia, kuswahili na sayansi kimu, kibaya zaidi una div 4.
 
Tulia hivyo hivyo ulivyo wewe mwalimu wa sayansi. Hayo ndo malipo yako ya kutofanya vizuri darasani, ungejipatia div 1 or 2 usingekuwa mwalimu. Wewe ni mwalimu tu kama alivyo mwalimu wa uraia, kuswahili na sayansi kimu, kibaya zaidi una div 4.
Ndugu yangu acha kujidhalilisha,hivi ni chuo gani kikuu kinadahili mtu mwenye hiyo div.4?
Wakati mwingine sio lazima uchangie mada!!!
 
Ndugu zangu,najua kuna watu watatukatisha tamaa sana,kwa sababu zao binafsi,lakini HUU umoja wetu utakuwa ni kiunganishi chenye kujenga,wala sio kubomoa!!
 
Nimekupandisha basi mkuu una div 3
Kweli wewe ni mwizi,ngoja nikuache tu,lakini nikujze tu,kuwa kuna watu wana div.two zao,tuliingia huku kwa mapenzi mema kabisa na taaluma hii,lakini mwisho wa siku tumejikuta tumetelekezwa na wanasiasa wasiojali elimu,ndiyo maana katika post yangu nilisema wazi kuwa serikali yetu ya awamu ya tano imeonesha wazi kuzingatia utaalamu zaidi kuliko siasa,kwa hiyo ni muhimu kushirikiana nayo kuboresha elimu yetu.
Na ukumbuke kuwa endapo kila mtu atakimbia taaluma ya ualimu,tutajikuta tuna taifa la ajabu kuliko unavyoweza kudhani,tafakari kwa kina ndugu yangu.
 
Kweli wewe ni mwizi,ngoja nikuache tu,lakini nikujze tu,kuwa kuna watu wana div.two zao,tuliingia huku kwa mapenzi mema kabisa na taaluma hii,lakini mwisho wa siku tumejikuta tumetelekezwa na wanasiasa wasiojali elimu,ndiyo maana katika post yangu nilisema wazi kuwa serikali yetu ya awamu ya tano imeonesha wazi kuzingatia utaalamu zaidi kuliko siasa,kwa hiyo ni muhimu kushirikiana nayo kuboresha elimu yetu.
Na ukumbuke kuwa endapo kila mtu atakimbia taaluma ya ualimu,tutajikuta tuna taifa la ajabu kuliko unavyoweza kudhani,tafakari kwa kina ndugu yangu.
Umenena vema mkuu, uliingia huko ikiwa ni kutekeleza wajibu wako sasa uache masuala ya kujiita mwalimu wa sayansi pale uteteapo masilahi katika kazi yako. Walimu wote mna haki sawa, ndani ya viongozi wa CWT wamo wanasayansi hivyo wanafahamu vema kufikisha haja zenu. Unaposema muunde umoja wenu kama walimu wa sayansi na uwe na nguvu kama ilivyo CWT huko ni kupotoka kwani baada ya hapo mtaamua muunde umoja wa walimu wa physics tu wenye nguvu sawa na CWT, hamtaishia hapo ata Biology, Geography, Chemistry, Mathematics, Kiswahili......watataka kuunda umoja kwa kila somo tena wenye nguvu ileile ya CWT. Kuwa makini kijana, ni vema kama maoni yako yangekuwa ni kuwakutanisha walimu wa sayansi na kujadili yanayowakabili ili myapeleke CWT ili wayafanyie kazi, hili la kuunda umoja mwingine si sahihi, kwa wadhifa nilionao ningebahatika kukutana na wewe lazima ningekucharaza viboko.
 
Lengo la post ni kuanzisha trade union ya walm was sayansi, ushaur wangu

1. Kama sio mwl wa sayans pita
2. Walm was sayans wajadil namna ya kufanikisha azma hii

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom