Recent content by MrishoKafir

  1. M

    Mapenz viseveser

    Hiv inakuaje ww mwanaume una mpenz wko mnapendana yan unampenda nayy anakupenda. kpindi hicho mapenz ni mazur sana afu ww huna kaz na huna pesa za kutosha kujimudu nyote. mungu sio athuman unapata kaz na pesa znaanza kuja,yale mloyataman mnaanza kuyapata,cha kushangaza mpenz wako anakuacha...
  2. M

    Unataka Tanzania iwe nchi ya aina ganii?

    Habar gan mabib na mabwan, mko pouw? ni matazamio yang mpo na afya njema kabisa. katka maisha kuna vitu vingi tunavyovitazamia vtakuaje kwa mda wa badae... kama ungeulizwa wewe apo JE' UNATAKA TANZANIA IWE INCHI YA AINA GANI? huu ni mdahalo ambao unafanyika kila j4 na waandishi wa habar...
  3. M

    Kazi kwa aliyesoma Journalism

    mh! nichekini kama kuna uwezekano japo ndo namalizia certificate ya journalism mwaka huu mrishokafir@gmail.com 2bonge zaid na zaid
  4. M

    Kiswahili sahihi ni Imeibwa au Imeibiwa?

    Katika utoaji wa taarifa ipi iko sahihi kati ya; 1. Simu yangu imeibiwa 2. Simu yangu imeibwa
  5. M

    Natafuta Kituo cha Radio cha kufanyia field

    Natafuta sehemu ya kufanyia field (presenter), kama pande zenu kituo cha radio pako vizuri ruka na mimi hapa hapa live au mrishokafir@gmail.com
  6. M

    Hivi hii ishakutokea na wewe au mimi ninamkosi tu?

    Sahiv nina 19 years, nimekua kua
  7. M

    Zawadi nzuri kwa mpenzi/mwenzi wako

    hahaha! kikwetu miaka 19 ni hamna kuoa, labda 21 ndo afadhar, bt isingekua skul mbona ningevuta2, bt naulizia zawad kwanza
  8. M

    Unaijua biashara? Faida na hasara je, unaziwazia?

    bavaria ndo mana nkasema kwa mfano, haya 2fanye kwel, yakushtukza uwa inasumbua ujue
  9. M

    Unaijua biashara? Faida na hasara je, unaziwazia?

    we dick, skukatalii sawa,lakn ukipewa hela hukua na wazo la kupata wala kufanya biashara lazma umwage radh, ww ulikaa chin na ukagundua nn cha kufanya juu ya 50,000
  10. M

    Kama kucheka ni uzembe, basi kubali uitwe mzembe kwa muda 2...

    Si akafika hadi kwenye ule mti wa muembe, kaangaza juu kote akaona embe 1 hivi. Wacha apande mpaka kwenye lile embe (tunda) akalichek na akalibonyeza akagundua kumbe limewiva, akashuka haraka sana embe akaliacha, huku akisema watu wasijekuniona. Kushuka, kakusanya mawe, miti, kila kitu. Si...
  11. M

    Zawadi nzuri kwa mpenzi/mwenzi wako

    hahaha! <nitonye> itakua fresh ama nn! we ushawah kumpatia nn mpenz wako/kukupatia ww?
  12. M

    Unaijua biashara? Faida na hasara je, unaziwazia?

    Yan kwa jinsi ninavokujua wewe apo, ukipewa laki5 500,000 sahiv utaifanyia nin? utafungua biashara gan mda huu? weng uwa tunamalengo lakin ukizkamataa tu yanaanza mambo ya bata ndefu hatari, biashara ni kitu knahitaji fikra na hakiitaji kumuangalia flan eti katusua, tumia akili yako vzur...
  13. M

    Zawadi nzuri kwa mpenzi/mwenzi wako

    Jamani kama nilivowaambia apo mwanzo, mimi ni na idadi ya miaka 19.5 kwa sasa,mimi nauliza eti mpenzi wako akikwambia umpe zawadi, je mbali na penzi zuri wewe utampa zawadi gani? Maana mimi najiulizaga sana siku yamenitokea pindi nikipata mpenzi sjui itakuaje. Wewe utamnunulia zawadi gani nzuri?
Back
Top Bottom