Natafuta Kituo cha Radio cha kufanyia field

Natafuta Kituo cha Radio cha kufanyia field

Hii sio sawa hata kidogo... Kazi apige na ada atoe?... Duuuh

We unadhani akifika tu anafanya kazi,wanafunzi wengi hawajui namna ya utangazaji wao wanadhani ni kuongea tu...kuna masuala ya punch na flow ambayo anahtaji afundishwe,bdo suala la kutumia vifaa vya kampuni ambavyo vinahtaji fedha ili viwe stable(mfano tape recorder inahtaji betri) kwa hali halisi hata 50,000 ni ndogo.
 
Back
Top Bottom