Mapenz viseveser

Mapenz viseveser

MrishoKafir

Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
25
Reaction score
2
Hiv inakuaje ww mwanaume una mpenz wko mnapendana yan unampenda nayy anakupenda. kpindi hicho mapenz ni mazur sana afu ww huna kaz na huna pesa za kutosha kujimudu nyote.

mungu sio athuman unapata kaz na pesa znaanza kuja,yale mloyataman mnaanza kuyapata,cha kushangaza mpenz wako anakuacha wakat kpind cha ukame alivumilia na akakupenda leo hii unayopesa anakukimbia,
hvi apo utasema nini au hali hii usababishwa na nini?
 
Hiv inakuaje ww mwanaume una mpenz wko mnapendana yan unampenda nayy anakupenda. kpindi hicho mapenz ni mazur sana afu ww huna kaz na huna pesa za kutosha kujimudu nyote.

mungu sio athuman unapata kaz na pesa znaanza kuja,yale mloyataman mnaanza kuyapata,cha kushangaza mpenz wako anakuacha wakat kpind cha ukame alivumilia na akakupenda leo hii unayopesa anakukimbia,
hvi apo utasema nini au hali hii usababishwa na nini?

Baada ya kupata pesa umekuwa "k.a.f.i.r.i" kama ID yako na hilo ndio tatizo..
 
Tatizo wanaume mnaamini kuwa ukishakuwa na pesa ndio kila kitu, naiman ulivyokuwa kwenye maisha ya chini ulikuwa unamjali na kumthamini mwenzio ila baada ya maisha kuwa mazur umebadilika sasa mwenzako ataachaje kuondoka labda , pesa sio kila kitu huwezi kuvumilia mtu anakutreat like a trash eti kisa ana pesa hell no. Kuthaminiwa ni zaidi ya pesa jaribu kuangalia ni wapi ulipobadilika ujirekebishe.
 
Ulipopata pesa ukawa much know, wew ndio wew! Unajiona umeibeba dunia nani atakuvumilia???
 
 
Last edited by a moderator:
PATA PESA TUJUE TABIA YAKO........

atakuwa ameijua tabia yako baada ya kupata pesa.....
 
Back
Top Bottom