Kazi kwa aliyesoma Journalism

Kazi kwa aliyesoma Journalism

Mwenzangu wacha wao ndo watu judge ww na journalism yako mm na kiswahil changu,,,,,kama kwel wanaandaa jarida la watoto naiman hawawez kuacha wenye taaluma ya children literature,nina iman na prof mlokoz,nna iman na taaluma yangu,utunz wa riwaya,tamthiliya,ushair,uandish wa makala,majarida n.k,,,,hapa ndo kwake,watuite tu kwenye usail tukatunishiane misul huko.

umeishiwa maarifa pole tatizo la wabongo kila kitu wanakijua sana
 
sijasoma journalism,nmesoma shahada ya kiswahili,ambapo nmesomea kozi ya uhariri na uandishi(advanced writing&,editing) wa matini,pia kozi ya fasihi ya watoto(children literature),,,,, vp hapo nnaweza kutuma apps,au kwa waliosoma journalism tuuu????

You're Totally Disqualified. Wapishe Wenzio Wenye SIFA Na Wewe Peleka CV Zako BAKITA.
 
Back
Top Bottom