Mkuu pole Sana ila
Mkuu mtu anaekuja kwa lengo la kutaka kusaidiwa mtaji wa biashara hapewi PESA
Ataje ni biashara gani then unampa bidhaa
Hapo kidogo itasaidia
Hata mwenye njaa hununuliwa chakula si kumpa pesa
Mkuu ww umezaliwa hilo halina Shaka
Je nani kausimamisha ulimwengu?
Mbingu na ardhi nani kazijenga?
Kabla ya kuzaliwa wewe wezaniambia ulikuwa wapi?
Naomba jibu kwa mpangilio Kama ulivyo ulizwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.