Recent content by Mr Vingi

  1. Mr Vingi

    GE2020 Nawaonea huruma madiwani na wabunge waliopitishwa kwa tiketi ya CCM

    Hivi simba ikifa yanga mpinzani wake atakuwa nani. Ccm wajitafakari ktk maamuzi yao
  2. Mr Vingi

    Saudia Sasa kuruhusu Ujenzi wa Makanisa

    Waarabu watajigharimu sana na unafiki wao Kuwakubalia makafiri kwa kila kitu si kigezo cha kuenda sawa nao
  3. Mr Vingi

    CAG: Makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% - 15% yanakiuka Sheria; kuna watumishi wanateseka na makato makubwa

    CAG kashewafanya watu vichwa viote upara kwa muda tu
  4. Mr Vingi

    Vazi la taifa la Tanzania ni lipi?

    Kwani vazi la taifa kwa akina mama si KANIKI tu inatosha Kwa wale wa pwani nafikiri mtakuwa mmeelewa
  5. Mr Vingi

    Seneta John McCain apatikana na saratani ya ubongo

    Ugonjwa uliomuondoa mamayangu wa kambo huo. Ajitahidi kuomba sana mana safari si mbali nayo Alipo
  6. Mr Vingi

    Pombe imewahi kukusaidia nini katika maisha yako?

    Siku ukiangusha gari wajomba wakija jisevia pia uje jf kutuhabarisha mkuu
  7. Mr Vingi

    Mataifa ya Bahrain, Saudi Arabia & Egypt yavunja mahusiano ya kidiplomasia na Qatar

    Unafiki wa waarabu kutaka kujisafisha kwa trump utawafanya kila siku watandikwe na mmarekani. Vilemba vya bure kumbe makunguru
  8. Mr Vingi

    Abu Dhabi: Kijana bilionea atoa ofa kwenye Mall ya Lulu ndani ya dakika 30

    Kwa ghafla hiyo weza ukaondoka na pipi ya mtoto ujue
  9. Mr Vingi

    UJERUMANI: Waandaji wa Tamasha la Muziki wajenga bomba la kusafirisha bia hadi tamashani

    Ndiomana sitaki kufanya kazi ktk serikali ya mjomba Ntalikosaje kuhudhulia tamasha kama hilo kwamfano
  10. Mr Vingi

    Mrejesho: MwanaJF aliyeomba mtaji

    Mkuu pole Sana ila Mkuu mtu anaekuja kwa lengo la kutaka kusaidiwa mtaji wa biashara hapewi PESA Ataje ni biashara gani then unampa bidhaa Hapo kidogo itasaidia Hata mwenye njaa hununuliwa chakula si kumpa pesa
  11. Mr Vingi

    Familia moja yaibuka na kudai aliyebuni na kuchora nembo ya Taifa sio mzee Maige bali Mzee Kabati

    Kama ni kiki wangeitafuta hata kwakusema Babu yao ndiye mtunzi wa wimbo wa Taifa au mchoraji bebdera Kidogo wangeeleweka
  12. Mr Vingi

    Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

    Mkuu ww umezaliwa hilo halina Shaka Je nani kausimamisha ulimwengu? Mbingu na ardhi nani kazijenga? Kabla ya kuzaliwa wewe wezaniambia ulikuwa wapi? Naomba jibu kwa mpangilio Kama ulivyo ulizwa
Back
Top Bottom