Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Ugaidi wa mauaji ya kimbari Rwanda ulioratibiwa na kanisa katoliki, ugaidi wa LRA na wa kibwetere Uganda, ugaidi wa kuuwa vikongwe na kuwachuna watu ngozi huu ni lazima (Faradhi)

Hebu msome Mungu alieuliwa na wananchi wake msalabani.
Ndio lakini Jihad ya Bwn. Mudy na kujitoa mhanga ni Sunnah.
 
Usitoke mapovu, huo mwezi ni mtukufu kwako. Jisikie aibu kwamba huwezi kufunga hadi ulazimishwe. Imani yako mwenyewe lkn unataka usindikizwe na uhaba wa chakula mtaani.

Funga ya kweli unalazimika kujinyima na sio kutokula kwa kuwa chakula hakipo. Mkiambiwa ukweli mnakuwa wakali, lakini kama unashinda njaa kwa kuwa hujaona chakula hapo hujafunga. Shida ni kuwa kuna watu wanaamini kuwa rabsha na kero kwa wengine ndio msingi wa imani iliyo imara.

Unalitest vipi uimara wa gari bila milima? Aliyedhamiria kufunga hata ule kitu gani mbele yake hawezi kula. Na hiyo ndio maana ya kujinyima. Punguza jazba, tafakari.

Kwa hii mifano yako basi ilikuwa haina mantiki kwa kanisa kukataza vimini kanisani!!! Kwa sababu pale unaongea na Yesu wako kupitia ibada ya sala sasa vimini vinaathiri kitu gani katika sala!!?? Kwanini mkataza si msali navyo tu hata kama muongoza sala ataona maumbile ya wanawake yenye kutia hamu!?
 
Ndio lakini Jihad ya Bwn. Mudy na kujitoa mhanga ni Sunnah.

Basi jihadi yake haiwezi kuizidi ile ya Samson wa Bible katika " WAAMUZI 16:30" au hawa wafuasi wa Yesu akina Joseph Koni, Mchungaji Kibwetere na wengineo.

Halafu tambua neno Sunna linamaana ya sio lazima kufanya na neno Faradhi nilazima kufanya.

Mfano pale Daudi alipopigana na Mungu usikukucha hadi akamtengua mguu jambo lililopelekea Mungu kuomba msamaha maana asubuhi ilikuwa inaingia lakini bado Daudi anamshushia Mungu kipondo, ili Mungu aachiwe aende zake ilibidi atoe baraka ya yakubu kuitwa Israel kutokea asubuhi yake. MWANZO; 32:22-32
 
Umeshasema dogo!!!! Kojolea wewe mtu mzima ambae unazo akili zako timamu halafu uangalie mwenye maneno yake atakavyoamua.
Maandishi yakishetani na majini hayawezi kunidhuru, kama unabisha niletee geto niigeuze toilet paper kabisa na haitokei chochote.
 
Maandishi yakishetani na majini hayawezi kunidhuru, kama unabisha niletee geto niigeuze toilet paper kabisa na haitokei chochote.

Mimi sio mpumbavu wa kuchukua kitabu chenye maneno ya Allah (Quran) halafu nimpelekee mtu ambae hajui hata kujitoharisha! M, Mungu kaweka katazo kitabu chake kisishikwe kama mtu hayuko msafi wa kiwiliwili na nguo. Surah 56 (alwaqia) aya 79.

Ila kama wewe kweli shujaa nenda kanunua halafu uigeuze toilet paper halafu tumuache mwenye maneno yake nini atakiamua kwako.
 
Lkn babu yako yupo eeh? We ukimkiri au ukimkataa haimpunguzii chochote wala haimzidishii chochote
Kwa sababu hayupo.

Kama hayupo hawezi kuzidishiwa chochote au kupunguziwa chochote.

Atapunguziwaje au kuzidishiwaje chochote wakati hayupo?

Nakuunga mkono.
 
Kwa sababu hayupo.

Kama hayupo hawezi kuzidishiwa chochote au kupunguziwa chochote.

Atapunguziwaje au kuzidishiwaje chochote wakati hayupo?

Nakuunga mkono.
We endelea.... Majibu utayapata tu. Bahati mbaya hutakuwa na nafasi ya kuleta mrejesho.
 
Mkuu maneno yako hayo au umeandikiwa?
Kipi kinakufanya ufikiri nimeandikiwa.

Unanitusi hivyo, kwamba mimi ni mtu wa kuandikiwa, kwani mimi siwezi kuandika?

Au umeona sina hulka ya kuandikahivi kwa jinsi unavyonijua?

Sababu gani hasa iliyokufanya uandike hivyo?
 
Kipi kinakufanya ufikiri nimeandikiwa.

Unanitusi hivyo, kwamba mimi ni mtu wa kuandikiwa, kwani mimi siwezi kuandika?

Au umeona sina hulka ya kuandikahivi kwa jinsi unavyonijua?

Sababu gani hasa iliyokufanya uandike hivyo?
Mkuu desturi ya mtz anapoulizwa ni kujibu then kuukiza.

OK tuachane na hilo.


Naamini unaamini kuwa duniani kuna upepo unaovuma japo hujawahi uona kwa macho.

Pia kiumbe alie hai hupumua na huwa na roho japo vyote hivyo havionekani kwa macho,

Je ni kipi kinakufanya uamini hivi vitu vipo na hukuwahi kuviona kwa macho.?
 
Mkuu desturi ya mtz anapoulizwa ni kujibu then kuukiza.

OK tuachane na hilo.


Naamini unaamini kuwa duniani kuna upepo unaovuma japo hujawahi uona kwa macho.

Pia kiumbe alie hai hupumua na huwa na roho japo vyote hivyo havionekani kwa macho,

Je ni kipi kinakufanya uamini hivi vitu vipo na hukuwahi kuviona kwa macho.?

Wewe unaheshimu mambo ya dinina Mungunaona, nitakupa mfano kutoka huko.

Hata Yesu aliulizwa na watu kamawamlipe kodi Kaizari au wasimlipe.

Akaichukua sarafu yenye picha ya Kaizari na kuwaonyesha watu waliomuuliza, sarafu hii ina picha ya nani?

Wakasemaya Kaizari.

Akasema basi mpeni Kaizari vya Kaizari.

Mara nyingine kujibu swali kwa jibu kunatoa jibu la maana sana kabla ya kujibu moja kwa moja.

Upepounaonekana kwa macho na unapimika, unachorewa mpaka ramani kwamba unatoka wapi na kwenda wapi. Ni wewe tu.

Soma zaidi hapa How are winds measured?

Uhai wa kiumbe unapimwa jinsi viungo vyake vinavyofanya kazi,watu wana scan moyo mpaka ubongo na kukuambia huyu mtu kashaenda flatline au vipi.

Na hata kamatusingejua au kuweza kuuona uhai, hilo halihakikishi kwamba Mungu yupo.

Unaniuliza kwamba vipi vinanifanya niaminivitu vipo na hali sivioni kwa macho.

Wapi nimesema kwamba kitu kuwepo ni lazima kionekane kwa macho?

Hivyo vyote vinaweza kuwa proved in a logically consistent way.

Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye mapenzi yote unaweza kum prove in a logically consistent way?

Unaelewa logical consistency ni nini?
 
Mimi ni mkristo na nipo Mpendaye. Kwa tamko hili naapa kwamba kila mlo wangu wa mchana nitakuwa nakula pale Darajani. Hadharani kabisa. Halafu nione mwanaharamu yeyote aniguse.
 
Wewe unaheshimu mambo ya dinina Mungunaona, nitakupa mfano kutoka huko.

Hata Yesu aliulizwa na watu kamawamlipe kodi Kaizari au wasimlipe.

Akaichukua sarafu yenye picha ya Kaizari na kuwaonyesha watu waliomuuliza, sarafu hii ina picha ya nani?

Wakasemaya Kaizari.

Akasema basi mpeni Kaizari vya Kaizari.

Mara nyingine kujibu swali kwa jibu kunatoa jibu la maana sana kabla ya kujibu moja kwa moja.

Upepounaonekana kwa macho na unapimika, unachorewa mpaka ramani kwamba unatoka wapi na kwenda wapi. Ni wewe tu.

Soma zaidi hapa How are winds measured?

Uhai wa kiumbe unapimwa jinsi viungo vyake vinavyofanya kazi,watu wana scan moyo mpaka ubongo na kukuambia huyu mtu kashaenda flatline au vipi.

Na hata kamatusingejua au kuweza kuuona uhai, hilo halihakikishi kwamba Mungu yupo.

Unaniuliza kwamba vipi vinanifanya niaminivitu vipo na hali sivioni kwa macho.

Wapi nimesema kwamba kitu kuwepo ni lazima kionekane kwa macho?

Hivyo vyote vinaweza kuwa proved in a logically consistent way.

Mungu wako muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye mapenzi yote unaweza kum prove in a logically consistent way?

Unaelewa logical consistency ni nini?
Mkuu ww umezaliwa hilo halina Shaka

Je nani kausimamisha ulimwengu?

Mbingu na ardhi nani kazijenga?

Kabla ya kuzaliwa wewe wezaniambia ulikuwa wapi?

Naomba jibu kwa mpangilio Kama ulivyo ulizwa
 
Mkuu ww umezaliwa hilo halina Shaka

Je nani kausimamisha ulimwengu?

Mbingu na ardhi nani kazijenga?

Kabla ya kuzaliwa wewe wezaniambia ulikuwa wapi?

Naomba jibu kwa mpangilio Kama ulivyo ulizwa
Kwa nini swali liwe "nani" ?

Ukishauliza swali la "nani" unajionyesha umefikiri jibu lako tayari.

Kwa nini swali liwe "nani" (mtu, nafsi fulani iliyo na uelewa) na si "nini" ?

Kabla ya kuniuliza kabla ya kuzaliwa nilikuwa wapi, lazima tujuzane, unaposema "mimi" unamaanisha nini?

Wewe ulikuwepo mwaka jana?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom