Heri yako wengine tulishasahau hata kuuvaa,Nimara yapili naongeza tundu la mkanda wa suruali kwa kuwa suruali zangu zina pwaya sijui hii hali inkiendelea itakuwaje maana naanza kufikiri namna ya kuwahamisha wanangu shule angalau warudi day badala ya boarding
Unavaa inchi ngapi? Mwanaume wastani ni 36-40. Huyo hana jikitambi. Kama ulifikisha 45-50 endelea kupungua.tena ule mboga za majani sana ( sio umaskini)Nimara yapili naongeza tundu la mkanda wa suruali kwa kuwa suruali zangu zina pwaya sijui hii hali inkiendelea itakuwaje maana naanza kufikiri namna ya kuwahamisha wanangu shule angalau warudi day badala ya boarding
Sasa nani fundi cherehani unamueleza hayo apa..empty set
Hali hii ni ngumu ila ni nzuri kwa afya yako mkuu,hata katika ndoa nadhani utakuwa unapatikana siku hizi kulinganisha na enzi zile ulivyokuwa unajifanya uko busy na kazi..Nimara yapili naongeza tundu la mkanda wa suruali kwa kuwa suruali zangu zina pwaya sijui hii hali inkiendelea itakuwaje maana naanza kufikiri namna ya kuwahamisha wanangu shule angalau warudi day badala ya boarding
Umenikumbusha Dr mmoja while I. University nahisi alikuwa anafundisha watu wa education ,yeye huwa anachomekea shati ndani ya boksa...kosa lako litakuwa kumwambia kuwa boksa inaonekana...kwasababu anajua anachokifanya...mzee yule alikuwa anatuchekesha sana....Na boxer umezifanyaje?
Au ndo unazipandishia juu ya belt la suruali unakazia na mkanda?
ni disjoint set kabisa mkuuSasa nani fundi cherehani unamueleza hayo apa..empty set
Haaaahaaa
Mwenye nchi kipara kinazidi kuongezeka na suti zinampwayaNimara yapili naongeza tundu la mkanda wa suruali kwa kuwa suruali zangu zina pwaya sijui hii hali inkiendelea itakuwaje maana naanza kufikiri namna ya kuwahamisha wanangu shule angalau warudi day badala ya boarding