Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Habari ndugu zangu,
Kuna kipindi kulikuwa na mchakato wa kutafuta vazi la taifa, je ulifikia wapi? Tafadhali tujuzane kwa mwenye kufahamu hili.
Nadhani ni wakati muafaka tuwe na vazi la taifa ili itusaidie wananchi hasa tunapoenda kwenye ofisi za umma kupata huduma kwa kuwa kumekuwa na kero nyingi za kukataliwa kupata huduma wananchi kwa sababu ya mavazi yao.
Ni heri tuwe na vazi linalojulikana na kila mwananchi ili itusaidie kutuepusha na dhambi tunazozipata kutokana na kadhia hii.
Kwa anayejua vazi la Tanzania atujuze.
Ahsanteni.
Kuna kipindi kulikuwa na mchakato wa kutafuta vazi la taifa, je ulifikia wapi? Tafadhali tujuzane kwa mwenye kufahamu hili.
Nadhani ni wakati muafaka tuwe na vazi la taifa ili itusaidie wananchi hasa tunapoenda kwenye ofisi za umma kupata huduma kwa kuwa kumekuwa na kero nyingi za kukataliwa kupata huduma wananchi kwa sababu ya mavazi yao.
Ni heri tuwe na vazi linalojulikana na kila mwananchi ili itusaidie kutuepusha na dhambi tunazozipata kutokana na kadhia hii.
Kwa anayejua vazi la Tanzania atujuze.
Ahsanteni.