Kwanza hata ivo pale bado pana project nyingi tu na zenye impact kwa jamii,,,
Mpaka sasa sua tu ndo wameweza kudetect sample 100 za TB kwa dakika 20 tu,
Kwa kutumia apopo rat,,,
Na hii inatumika nchi kama zimbambwe ,, mwaka huu technologia hii ndo inaweza anza tumikaa tz