Recent content by Mr. Tanganyika

  1. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Kisu katikati ya mlango

    kumbe bado hujatahiriwa?
  2. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

    Hii ya kwenye avatar yangu ni bomba sana
  3. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Taifa lina nyufa

    Kilaini kasema JK chaguo la Mungu, sawa. Shehe wako kasema nenda kachinje padri! Kuna uwiano hapo?
  4. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Taifa lina nyufa

    Kardinali hajawahi kumtuma mtu kwenda kuchoma msikiti, ni kinyume kabisa na mashehe wanowatuma waumini wa kiislamu kuandamana kumtoa ponda jela, kuchoma makanisa au kuua mapadri.
  5. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania RIP Baba Salutaris Massawe

    Alhamisi tarehe 25 Oktoba, mapadri wa Consolata walikwenda baharini kumaliza siku huko Bagamoyo. Ilikuwa ni pale Stela Maris, hoteli mpya kabisa ya kanisa katoliki. Waliingia baharini kuogelea na kusahau taabu za kazi za kitume. Walipochoka waliamua kutoka majini ili warejee nyumbani. Mmoja wao...
  6. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Makala ya James Mapalala kwenye gazeti la Mwananchi Imenisisimua!

    kama wa baba yako mzazi
  7. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Makala ya James Mapalala kwenye gazeti la Mwananchi Imenisisimua!

    mkuu @Ng'wanangwa, jamaa anahitaji msaada wa wakimbizi maana hana hata nyumba sasa
  8. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Ponda aachiwe mara moja - Lipumba

    republic yenye waislamu, wakristu na dini nyingine. Akaanzishe Jamhuriya ya Waislamu wa Tanzania kwanza kisha aje na hoja ya Punda (ponda)
  9. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Kwa watu wa mkoa wa Mara

    Mimi pia mjita, jamaa amekariri sifa za kijinga mara nyingi hadi post limepoteza ladha, halafu hana solution hata moja yeye ni wa kulalama tu, wacha niende jukwaa la mahusiano........
  10. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania President Jakaya Kikwete sends Congratulatory Message to Pope Benedict XVI

    Navyojua mimi innaugration was back in 1978!!!!
  11. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Mbwa ni wako faza

    Roho yangu inatamani kuwatania viongozi wa kiroho
  12. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Mtanganyika wa kwanza kuhutubia UN

    Nani sasa atapeleka malalamiko kuhusu ardhi ya Tanganyika?
  13. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Mtanganyika wa kwanza kuhutubia UN

    Unajua kuna watu wanajifanya wana hekima sana kumbe hawana kitu, mimi nimeuliza swali la kihistoria na kitafiti wao wananijia juu, halafu wanasema ndio maana hatuendelei. Mbona hawajiulizi kwa nini kuna mtu alikwenda UN na kwa nini mtu asiende sasa UN? Kama huyu Mallada, bure kabisa. Thanks Bin
  14. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Wabara ni kero,mazimwi,maruhani ya wazanzibar

    sema 'rekebisha' na sio 'lekebisha' kiswahili kama mzanzibari!
  15. Mr. Tanganyika

    JamiiForums Tanzania Hongera Mheshimiwa "Rais" Rostam Aziz

    Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa. 1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu. 2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu. 3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai...
Back
Top Bottom