Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

Tukishakuwa na serikali tatu tu, basi wazenji wote wanarudi kwao mara moja au wanapata viza ya kufanya kazi ambayo siyo ya Muunngano katika ardhi ya Tanganyika. Kuna wazenji walikuwa wkigraduate UDSM tu basi wanaridi kuwa vibosile sana Tanganyika; akina Vuai ni baadhi yao. Sasa tutakuwa wawazi zaidi. Ile transitional effort ya kuenda kwenye serikali moja imeshindikana, kwa hiyo serikali tatu ndiyo sahihi sasa. Na hivyo kila upande ulinde mali yake.
 
Mumeleta topic inayonipa taabu sasa, maana hata nyumba yangu ndogo sasa inaleta mahitaji ya ziada.

kama bei ni powa, nipe mbili. Tafadhari!
 
Hawa wapemba wanamahekari ya kufa mtu huku boko na bunju vipi wakati ardhi si ya muungano imekaaje wakuu.
 
Hongerani sana ila sijui kama polis wataachia ,huenda ikapigwa bani,ukionekana unapepea bendera hiyo ,basi polisi kapata kazi ya siku na ulaji ndio hin !
 
Tukikaa na kufikiri kwa kina sijui huyu RAIS wa muungano atakuwa ana kazi gani yaani kwa ufupi JD yake ni ipi?Je atakuwa na AUTHORITY gani?Ni nani atachangia cost za kuiweka serikali hii ya tatu.Je itakuwa na wabunge na mawaziri au inakuwaje?Je,hii kodi yetu itatosha kuendesha safari za RAIS wa Tanganyika na RAIS wa Muungano? Watanzania inapasa tujiulize mara tatu tatu hii ni kwa faida ya MTANZANIA au MWA-SIHASA?

Tukae tujadili saiv?? Si tumeshakaa na kujadili jaman na hayo yote unayojiuliza yameainishwa kwenyr rasimu ,namna yatkavyoendeshwa.
Kila aliesom rasimu hajiulizi mara mbili mbili ,ila wavivu wa kusoma ndo hao ambao tunawaona wanapig piga mayowe
 
No one is born with hating mentality we all learned how to hate. And this kind do stupid propaganda it is going to drive this nation to the bottom
 
Je umesoma Rasimu ya Pili? Sijui nianzie wapi kukufundisha. Ogopa kuweka uzumbukuku wako hadharani.
Tanganyika njoo haraka. Haiwezekani damu ya wapigania uhuru ipuuzwe.

Kama umeshindwa kunielekeza then hata wewe umeshindwa kunielewa.Matusi hayafundishi basi usipende kutukana kwenye mitandao,kuna watu hatujazoea matusi ya barabarani au mitandaoni.Unapotoa wazo lipo kinyume na mtu mwingine mtu huyo hastahili kukutukana sababu tu mawazo yenu yametaofautiana.

Nilichokiongelea hapo ni reality Vs Maandishi ya kitabuni ambayo mwisho wa siku kuna Rais mmoja ana madaraka sababu tu ya Muungano na Rais wa pili ana madaraka sababu ana Nchi hivyo lazima kutayokea kutokuelewana,hasa pale nchi moja inapotaka kufanya jambo ambalo litaathiri nchi nyingine.

Tunaweza kuona serikali tatu ndiyo suluhisho lakini kwa uhakika serikali tatu siyo suluhisho ni matatizo zaidi.Kama waZanzibar wanaona wanaoenewa na watu toka bara hata ukiwa na serikali tatu bado wataona wananyimwa haki zao za msingi.Kwangu kama serikali mbili haiwezekani basi bora moja na kama hiyo haiwezekani kila mtu achukue chake tuonane UN.Na hapo ndipo Tanganyika itakuwa salama zaidi kuliko unavyodhani kwenye serikali tatu itakuwa na usalama zaidi.

Mwisho Kaka yamgu Kimbori jifunze Ku-argue na siyo kutukana,umeshindwa kunielekeza na unajiopna unaelimu zaidi bora ungenyamaza kuliko kunitukana.
 
Tukae tujadili saiv?? Si tumeshakaa na kujadili jaman na hayo yote unayojiuliza yameainishwa kwenyr rasimu ,namna yatkavyoendeshwa.
Kila aliesom rasimu hajiulizi mara mbili mbili ,ila wavivu wa kusoma ndo hao ambao tunawaona wanapig piga mayowe

Je,wafikiri umejadili vya kutosha?Kama hawa wenzetu wanatuona tunawanyonya,tuwakoloni nk.je awafikiria kwamba kwa serikali tatu vidonda hivi vitapona?Wenzetu hawa watakubali?Kwa umakini kabisa na kwa kuisoma vizuri sana hii rasimu bado sijapata uhalali wa kuwa na serikali tatu ikiwa hizi mbili zilikuwa na matatizo,then tungekubaliana kuwa na moja tu.Vinginevyo tuishi kila mtu kwenye nyumba yake tukutane tukienda tembea kwa marafiki zetu ughaibuni.
 
Back
Top Bottom