dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,423
katika hali ya kawaida nilitegemea majibu kwanza ya nilichouliza kuliko kuwa kama kasuka kuigiza kila ninachofanya,ok anya wayz pengine ndio kilema chako maana wanasema kila binadamu ana kilema fulani,je kwa ufahamu wako labda polisi kwa nini inamshikilia ponda tena mind you kinyume cha katiba?pengine unaifahamu sababu ya wao kufanya hivyo ndio maana ungependa na unafanya jitihada za makusudi kujaibu kushabikia ubakaji huo wa haki za raia?
Ndugu, Ponda anazo TUHUMA kadhaa; kwamba hiyo ya kuchoma makanisa ni miongoni mwa hizo tuhuma mimi sifahamu wala simo! Ila kama hiyo ni miongoni mwa tuhuma, siyo kazi ya Lipumba na CUF yake ku-rule out kwamba ni UONGO au SIYO UONGO bali ni kazi ya Mahakama pekee na hoja iliyoko mezani ndiyo hiyo! Otherwise, huyo Shehe kupewa dhamana ni suala ambalo halina mjadala. Natumaini umeelewa sasa.