Hongera Mheshimiwa "Rais" Rostam Aziz

Nov 13, 2010
91
7
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa.

1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu.
2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu.
3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai uspika.
4. Umepandikiza spika wako umpendae mama Makinda.
5. Umetumia hila za ajabu kuua upinzani rasmi bungeni - japo hujafanikiwa sana.
6. Umesaidia rafiki na wapambe wako kushika kamati nyeti za bunge.
7. Unajipanga kumsafishia njia swahiba wako Lowassa agombee 2015.

Kazi uliyofanya ni kubwa, tunakuzawadia kifuta jasho shilingi bilioni 94!
 
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa.

1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu.
2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu.
3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai uspika.
4. Umepandikiza spika wako umpendae mama Makinda.
5. Umetumia hila za ajabu kuua upinzani rasmi bungeni - japo hujafanikiwa sana.
6. Umesaidia rafiki na wapambe wako kushika kamati nyeti za bunge.
7. Unajipanga kumsafishia njia swahiba wako Lowassa agombee 2015.

Kazi uliyofanya ni kubwa, tunakuzawadia kifuta jasho shilingi bilioni 94!

Hiyo yenyewe inabidi ipatikane e mail yake tumtumie huu ujumbe umetulia sana.
 
you have spoken my mind, hamna bull zaidi ya ROSTAM kule CCM

BORA RAIA WOTE WAKUCHUKIE KAMA MUBARAK WA MISRI KULIKO MTU MMOJA ROSTAM AKUCHUKIE
 
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa.

1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu.
2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu.
3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai uspika.
4. Umepandikiza spika wako umpendae mama Makinda.
5. Umetumia hila za ajabu kuua upinzani rasmi bungeni - japo hujafanikiwa sana.
6. Umesaidia rafiki na wapambe wako kushika kamati nyeti za bunge.
7. Unajipanga kumsafishia njia swahiba wako Lowassa agombee 2015.

Kazi uliyofanya ni kubwa, tunakuzawadia kifuta jasho shilingi bilioni 94!
imetulia.
 
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa.

1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu.
2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu.
3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai uspika.
4. Umepandikiza spika wako umpendae mama Makinda.
5. Umetumia hila za ajabu kuua upinzani rasmi bungeni - japo hujafanikiwa sana.
6. Umesaidia rafiki na wapambe wako kushika kamati nyeti za bunge.
7. Unajipanga kumsafishia njia swahiba wako Lowassa agombee 2015.

Kazi uliyofanya ni kubwa, tunakuzawadia kifuta jasho shilingi bilioni 94!
He who has the gold, makes the rules Wakuu !
 
Hilarious but too earth-shattering and carrying a considerable great weight........
 
duu!bongo noma,najiandaa kuja bongo kumwomba R.A atuachie japo mwezi mmoja tufurahi, king maker wa bongo. Huku nilipo Berlusconi yeye na zipu tu.
 
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa.

1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu.
2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu.
3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai uspika.
4. Umepandikiza spika wako umpendae mama Makinda.
5. Umetumia hila za ajabu kuua upinzani rasmi bungeni - japo hujafanikiwa sana.
6. Umesaidia rafiki na wapambe wako kushika kamati nyeti za bunge.
7. Unajipanga kumsafishia njia swahiba wako Lowassa agombee 2015.

Kazi uliyofanya ni kubwa, tunakuzawadia kifuta jasho shilingi bilioni 94!


"Huwa naingiza Bil. 550 kwa mwezi sasa hii Bil. 194 sijaona kitu hapa"
 
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa.

1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu.
2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu.
3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai uspika.
4. Umepandikiza spika wako umpendae mama Makinda.
5. Umetumia hila za ajabu kuua upinzani rasmi bungeni - japo hujafanikiwa sana.
6. Umesaidia rafiki na wapambe wako kushika kamati nyeti za bunge.
7. Unajipanga kumsafishia njia swahiba wako Lowassa agombee 2015.

Kazi uliyofanya ni kubwa, tunakuzawadia kifuta jasho shilingi bilioni 94!
Ndg yangu Tanganyika unayo macho unaona mbali. Huyu jamaa noma kweli kweli, halafu yuko kimya!!!!!!! Lakini nadhani atatimukia Canada maana anazo pasiport nyingi tuu!!!! Atawaachia wenzake moto, maana Utunisianism uko mlangoni, hata wakijifanya hawaoni!!!!!!!!!!!!!!Karibu inaanza Misriism!!
 
kwa hiyo slaa hafui dafu kwa rostam?

Mkuu mjepu,

Hshima yako! what I can say kama yote yanayosemwa ni kweli basi huyu bwana Rostam ni mtu mwenye kipaji cha kipekee sana, nadhani utakubaliana na mimi mtu unaweza ukawa na pesa lakini usifanikishe missions zako lakini huyu bwana kama yasemwayo yooote yanaukweli atakuwa ana kipaji kikubwa sana cha kufanya akubalike na kukubaliwa mikakati yake. Inabidi CDM wapate mtu mwenye sifa kama Rostam za kuweza kupigana kufa na kuhakikisha mtu amtakae anaingia ikulu, kuweka spika na mengineyo kama alivyosema mleta habari na ikiwezekana kukuulia mbali CUF.
 
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa.

1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu.
2. Hukulala usiku na mchana hadi ulipohakikisha Jakaya anaingia ikulu.
3. Umetumia kila linalowezekana kuhakikisha Sitta haukwai uspika.
4. Umepandikiza spika wako umpendae mama Makinda.
5. Umetumia hila za ajabu kuua upinzani rasmi bungeni - japo hujafanikiwa sana.
6. Umesaidia rafiki na wapambe wako kushika kamati nyeti za bunge.
7. Unajipanga kumsafishia njia swahiba wako Lowassa agombee 2015.

Kazi uliyofanya ni kubwa, tunakuzawadia kifuta jasho shilingi bilioni 94!

.....hivi haiwezekani tukalipiga mawe gari lake wakati anapita ama kuunguza nyuma/mali zake hasiuawe lkn akapata msg!! ....maana kisheria na kimahakama ameisha tuwahi. Serikali imomikononi mwake, bunge nalo! kinachobaki ni sisi kwa umoja wetu kupambana nae. Tunatakiwa tu kuacha woga na kuwaza juu ya Taifa letu na watu wetu wanaoteseka kwa ajili ya ufisadi wa bwana huyu....naamini tunaweza!!
 
Back
Top Bottom