Mnataka kabla hajamaliza kutaja muhusika mkuu afe gafla? Vita nyingine hazipiganiki.Na ile ndoto ya August mnataka imukute July? teh teh kupigana na system ukiwa nje ni habari ngumu.kusema anataka, lkn mdomo utamponza
Namukubali sana Magufuli kwa utendaji wake, lakini kweli bila kupepesa macho phd za wanasiasa wengi ni za mbeleko.Mda wanaoutumia kwenye siasa ni mwingi sana lkn utashangaa mtu miaka mitatu ana phd. Mda huo unakinzana na ratiba zake kabisa kwa kuwa huo ni mda wa fulltime.ACADEMIC POLITICS
kwenye ubora wa vifaa Azam ndo wakumshindanisha tu na tbc.wana studio bora kabisa lbd shida iko kwa wachukuaji wa picha.star wamezidisha rangi tu.kwa mimi macho yangu mabovu tbc ndo wanarangi nzuri kwangu na sauti ni tulivu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.