PhD ya Magufuli na wanasiasa wengine zichunguzwe upya!

PhD sio ngumu kama umebarikiwa kipaji cha ubunifu wa mambo amabyo inaweza kuwa ni contibution to the already existing knowledge i.e kuimprove au kurefute the existing theories or understanding, inaweza kuwa ni new innovation. Inategemea PhD yako imeegemea wapi na uwezo wako kiubunifu na uelewa wa somo husika (intelectual creativity and understanding of the subject matter).

Hivyo kusema PhD ni ngumu ni sawa na kumuambiwa mwanafunzi wa form six ni ngumu kupata master degree.

Kwa kigezo kwamba PhD ni ngumu ndio maana kila mmoja hana, basi tutasema elimu ya chuo kikuu ni ngumu ni ngumu ndio maana si kila mmoja watu ana bachelor or even master degree. Ni kukatishana tamaa. Kigezo ni kwamba tumebarikiwa tofauti kwenye intellactutal creativity and understanding, hivyo ndio maana wengi wanaona PhD ni ngumu.

Hata hivyo, kupasi au kufell katika masomo ya uzamili na uzamivu kunategemea na background ya mtu. Kwa wale ambao wamezamia kwenye topik ambazo wamaanza kuzifanyia kazi tangu kwenye project za shahada ya kwanza, topic hiyo hiyo akaibobea kwenye shahada ya uzamili halafu akaizamia zaidi kwenye shahada ya uzamivu, PhD ni kama kumsukuma mlevi.

Kama PhD ya Magufuli ni ya kununua hapo ndio issue, lakini sio amemaliza kwa katika muda gani. Na kama ameinunua, ni kwa thamani gani na aliyemuuzia ni nani. Washitakiwe!

Nakugongea thanx dada.... ila suala moja tu !!!! washtakiwe kwenye mahakama gani??? Magufuli tayari keshamnunua jaji.kwa hiyo hata kama ukimuweka loya itakuwa ni kazi bure
 
Kama umesoma PhD ukaiona ni ngumu, jiongelee mweyewe. Kuna Watanzania wenzio wanazipiga tuu, na sasa wameshafikisha PhD mbili na postdoc juu, tena wakiwa ndio kwanza wanakaribia kufikisha miaka 40 (In 8 years, one is awarded 2 PhD na 2 postdocs).

Siamtetea Magufuli, natetea kusema kwako kwamba eti PhD ni ngumu, na ili kuipata inabidi uisotee miaka zaidi ya mingi.
Freema,
Ph.D yoyote ile ni ngumu. Mtu anayekuambia otherwise anakudanganya. Halafu postdoctoral sio degree, ni research program tu. Kwa maana nyingine ni ajira. Hakuna mtu anayesema ana Ph.D na postdoc labda awe amekudanganya. Huyo aliyekuambia kuwa ana Ph.D 2 nampongeza, lakini kwa kawaida hazihitajiki maana unapokuwa na Ph.D ni kwamba unakuwa umefudhu kwenye mambo ya reserch kwa kiwango hicho kinachokubalika na unaweza kutafiti eneo lolote na ku-publish vitu ambavyo vyenyewe vingeweza kuwa Ph.D.

Cha kuelewa ni kuwa, Ph.D inapatikana katika mazingira yanayoeleweka. Muda mfupi kabisa kwa UDSM ni miaka 3, na hii ni kwa mwanafunzi anayetumia muda wake wote kwenye Ph.D yake. Sidhani kama mtu ambaye ni waziri, mbunge na mfanya biashara anaweza kutumia muda wake wote kwenye Ph.D program na bado akawa na muda wa shughuli za uwaziri au ubunge n.k.

Prospectus ya UDSM ina sharti lifuatalo juu ya muda kwa wanafunzi wa Ph.D:

7.2.7 a The duration of the registration period, including the six months of
research proposal processing, shall be three years for full time and
five years for part-time candidates.

Kwa kpengele hicho utaamua mwenyewe ni vipi Magufuli alipewa Ph.D.
 
MchunguZI na Arafat inaonekana kama mmetumwa kumchafua Magufuli kwa record yake ya utendaji katika serikali. Katika mawaziri wote wa CCM, hakuna mwenye record nzuri ya kufanya kazi na kusimamia kama taratibu, sheria, kanuni na maamuzi mengine ya baraza la mawaziri (Japo la ovyo ovyo) kama Magufuli.

Kwa vigezo vyote ukimlinganisha na mawaziri wengine, yeye ndo anaonekana ana-afadhali ya kuweza kuweka competition kwenye kinyang'anyilo cha urais katika uchaguzi ujao. Sasa mmeanza kumchafua kwa sababu za kijinga wakati watanzania wengi wanamkubali.

Magufuli ni mtendaji mzuri na anayesimamia maneno yake, wengine ni wasanii wakiongozwa na mkuu wao na kiongozi wao.

Magufuli chapa kazi, hata siku ikitokea ukajenga fly overs, usiangalie nyani usoni, bomoa mpaka Ikulu ikibidi. Tunataka maendeleo ya miaka elfu moja mbele siyo ya miaka mitano.
 
Interesting discussion. Just a note to add to the juicy discussion so far: We don't judge somebody's intelligence on the basis of a PhD. Intelligence is mainly assessed on the basis of the capacity to handle common sense issues using common sense! It is therefore naivety to try to undermine or disqualify Dr Magufuli's PhD on the basis of poor or good judgment to demolish a TANESCO building. I repeat: poor or good judgment is not an indicator of intelligence. Again, hardworking is never a sign of intelligence. Indeed, some cognitive tests indicate that hardworking people have extraordinarily low IQs!!
 
Freema,
Ph.D yoyote ile ni ngumu. Mtu anayekuambia otherwise anakudanganya. Halafu postdoctoral sio degree, ni research program tu. Kwa maana nyingine ni ajira. Hakuna mtu anayesema ana Ph.D na postdoc labda awe amekudanganya. Huyo aliyekuambia kuwa ana Ph.D 2 nampongeza, lakini kwa kawaida hazihitajiki maana unapokuwa na Ph.D ni kwamba unakuwa umefudhu kwenye mambo ya reserch kwa kiwango hicho kinachokubalika na unaweza kutafiti eneo lolote na ku-publish vitu ambavyo vyenyewe vingeweza kuwa Ph.D.

Cha kuelewa ni kuwa, Ph.D inapatikana katika mazingira yanayoeleweka. Muda mfupi kabisa kwa UDSM ni miaka 3, na hii ni kwa mwanafunzi anayetumia muda wake wote kwenye Ph.D yake. Sidhani kama mtu ambaye ni waziri, mbunge na mfanya biashara anaweza kutumia muda wake wote kwenye Ph.D program na bado akawa na muda wa shughuli za uwaziri au ubunge n.k.

Prospectus ya UDSM ina sharti lifuatalo juu ya muda kwa wanafunzi wa Ph.D:

7.2.7 a The duration of the registration period, including the six months of
research proposal processing, shall be three years for full time and
five years for part-time candidates.

Kwa kpengele hicho utaamua mwenyewe ni vipi Magufuli alipewa Ph.D.

Kumbuka kua PhD ni indepth, streamlined understanding of the subject area. Sitaki kuamini kuwa ukiwa na PhD moja basi wewe unajua kila kitu na unaweza kufanya reserach yeyote. Ukiwa na PhD 2 inamaana uko vyema kweli maeneo mawili ya utaalamu.

Pia kumbuka huwez kufanya postdoc bila kuwa na PhD. So kijana ana PhD 2 na postdoc juu. Tena za natural science.

Una maana gani au UDSMS wanamaanisha nini kwenye prospectus yao katika kuwatofautisha full time na part time students?

Hata hivyo PhD yenyewe ni part time in many cases, unafaya kwa muda wako, hakuna anayekufuatili unafanya nini, unaishi vipi; kinachotakiwa ni ontime out put. Je PhD students ambao ni graduate assistants, teaching assistants, research assistants hawa utawaclassify kama full time au part time PhD students?

Kiukweli, nadhani ungeegemea upande mwingine kwenye kuidisqualify PhD ya Magufuli, lakini sio kwenye muda aliotumia kuipata hiyo PhD.
 
In Urban transportation road is nothing but a transport to Job, hospital and economic activities, which if we can attain in sustainable design people could even walk to Job and those mall (building) are the Job places and where economical activities are executed.

so u mean to tell me that one can walk all the way from mbezi mwisho to posta?isn't this a joke? a man can say anything to defend their arguments but as far as i see,..u didn't mean what you wrote,.it was just out of frustration trying to counter attack,..take back your comments
 
Yanayotokea Libya yanawatia taabu baadhi ya wakuu wa vyuo huko Ulaya. Kwa mfano huu;

The director of the London School of Economics (LSE), Sir Howard Davies has resigned over its links to Libyan leader Col Muammar Gaddafi. ...

He said the decision to accept £300,000 for research from a foundation run by Col Gaddafi's son Saif had "backfired".

The LSE has already announced it is investigating claims that Saif Gaddafi plagiarised his PhD thesis, which was awarded in 2008.

Huko Ujerumani nako kuna haya;
Germany's defence minister Karl-Theodor zu Guttenberg was forced to resign today after admitting plagiarising large chunks of his doctoral thesis

Zu Guttenberg, 39, agreed to drop his doctor title nearly a fortnight ago over allegations he copied chunks of his PhD thesis from newspapers and the Internet.

Hapa kwetu je?
Huyu anayeitwa Dr Magufuli inaeleweka kabisa hakuingia maabara kufanya kazi iliyompa Ph.D.

Hatua gani ichukuliwe kwa profesa aliyesaidia udanaganyifu huu kama ilivyomtokea Sir Howard Davies?

UD kama chuo, kimechukuwa hatua gani?

Yeye mwenyewe Magufuli kama ilivyo kwa Zu Guttenberg amechukuwa hatua gani.

Mwisho hao wengine waliotajwa na Mr Msemakweli ktk kitabu chake wako wapi na Ph.D zao?

You have really annoyed me with your unfounded allegations about the authenticity of Magufuli's PhD. It is clear that you don't know Magufuli, you don't know UDSM, and actually by this kind of crap concocted information aimed at tainting Dr. Magufuli, makes your own academic standing doubtful.

Magufuli did his Masters degree while I was also a student at the University of Dar es salaam. He is an ardent and committed fellow he is up to the dot, he is amongst the rare people who when it comes to standards makes no nonsense. Several times he has spent beyond midnight at the laboratory to wait and ensure results were obtained within the time window. Yes he is an influential and well known person and at time lab technicians would want to assist, he categorically refused, he took responsibilities of all what he did. What an offer if it was someone else!

Stop mixing politics and academics. If you have political sentiments against Magufuli then keep it political.
 
You have really annoyed me with your unfounded allegations about the authenticity of Magufuli's PhD. It is clear that you don't know Magufuli, you don't know UDSM, and actually by this kind of crap concocted information aimed at tainting Dr. Magufuli, makes your own academic standing doubtful.

Magufuli did his Masters degree while I was also a student at the University of Dar es salaam. He is an ardent and committed fellow he is up to the dot, he is amongst the rare people who when it comes to standards makes no nonsense. Several times he has spent beyond midnight at the laboratory to wait and ensure results were obtained within the time window. Yes he is an influential and well known person and at time lab technicians would want to assist, he categorically refused, he took responsibilities of all what he did. What an offer if it was someone else!

Stop mixing politics and academics. If you have political sentiments against Magufuli then keep it political.

This doesn't seem to answer the main question, I am sorry.

Looks like you just jumped into it. All your friends who come for his defence, probably the university alumni, go around the main point. You saying you was around at the time he was doing his masters - sounds very cheap, absolutely. The college needs to come very clean on this.

The question is

"Ph.D inapatikana katika mazingira yanayoeleweka. Muda mfupi kabisa kwa UDSM ni miaka 3, na hii ni kwa mwanafunzi anayetumia muda wake wote kwenye Ph.D yake. Sidhani kama mtu ambaye ni waziri, mbunge na mfanya biashara anaweza kutumia muda wake wote kwenye Ph.D program na bado akawa na muda wa shughuli za uwaziri au ubunge n.k." Kubwajinga

This is derived from the fact that

"7.2.7 a The duration of the registration period, including the six months of research proposal processing, shall be three years for full time and five years for part-time candidates." UDSM prospectus.

Most of the stuff above filling up this post are mere stories. I get the impression that he probably had three hands on it. Unless someone exhausts on this to our full comprehension, Magufuli's PhD and the college he went through remain flagged!!
 
PhD alifanyiwa na marafiki zake ambao ni lecturers pale idara ya kemia, walisoma digrii ya kwanza pamoja, majina yao nayahifadhi. Ninafahamu historia yake toka amesoma Masters ya kemia pale mlimani, kwahiyo PhD yake ni subject to discussion kama ilivyo kwa PhD zingine za George Washington University na pia PhD ya Nchimbi.
 
In Urban transportation road is nothing but a transport to Job, hospital and economic activities, which if we can attain in sustainable design people could even walk to Job and those mall (building) are the Job places and where economical activities are executed.

so u mean to tell me that one can walk all the way from mbezi mwisho to posta?isn't this a joke? a man can say anything to defend their arguments but as far as i see,..u didn't mean what you wrote,.it was just out of frustration trying to counter attack,..take back your comments


Member

Join Date : 4th March 2011
Posts : 41
Thanks
1
Thanked 6 Times in 6 Posts
Rep Power : 0



...which if we can attain in sustainable design people could even walk to Job...

I wonder you can not understand this sentence, and you want to contribute something, how can you contribute to the context that is non of your understanding level!!?
 
MchunguZI na Arafat inaonekana kama mmetumwa kumchafua Magufuli kwa record yake ya utendaji katika serikali. Katika mawaziri wote wa CCM, hakuna mwenye record nzuri ya kufanya kazi na kusimamia kama taratibu, sheria, kanuni na maamuzi mengine ya baraza la mawaziri (Japo la ovyo ovyo) kama Magufuli.

Kwa vigezo vyote ukimlinganisha na mawaziri wengine, yeye ndo anaonekana ana-afadhali ya kuweza kuweka competition kwenye kinyang'anyilo cha urais katika uchaguzi ujao. Sasa mmeanza kumchafua kwa sababu za kijinga wakati watanzania wengi wanamkubali.

Magufuli ni mtendaji mzuri na anayesimamia maneno yake, wengine ni wasanii wakiongozwa na mkuu wao na kiongozi wao.

Magufuli chapa kazi, hata siku ikitokea ukajenga fly overs, usiangalie nyani usoni, bomoa mpaka Ikulu ikibidi. Tunataka maendeleo ya miaka elfu moja mbele siyo ya miaka mitano.

We umechanganyikiwa, unatumia vigezo gani kutetea hayo maneno yako?!
 
kuhusu CV ya huyu jamaaa kwa kweli imekaa vyema kabisa.Hayo maneno mengine hata kwenye kanga yapo.
 
Namukubali sana Magufuli kwa utendaji wake, lakini kweli bila kupepesa macho phd za wanasiasa wengi ni za mbeleko.Mda wanaoutumia kwenye siasa ni mwingi sana lkn utashangaa mtu miaka mitatu ana phd. Mda huo unakinzana na ratiba zake kabisa kwa kuwa huo ni mda wa fulltime.ACADEMIC POLITICS
 
Kuhusu Magufuli nitakujibu kwa ufahamu wangu..Si kweli kusema jamaa hakuingia maabara ya Chemistry pale chuo... Kwa taarifa yako Magufuli ni maarufu sana pale chuoni kwa kuwa alikuwa akila RB na wanafunzi wengine muda wa mchana akitokea Lab. Pia Magufuli amesoma PhD yake kama wanafunzi wengine akifanya ishu za kiunafunzi kama Discussions na walimu wake, kuingia maabara, kula Cafeteria zaidi cafe 1 pale, kuongea stori za kiunafunzi na wenzie wa Phd na wengine wa Masters... Wengi walikuwa wakishangaa saana 2008/10 kumuona Mhe. John mkali wa kumbukumbu.. Sio utani kumuona bungeni yuko vile njoo uulizie pale UDSM uwezo wa Magufuli utawambiwa... Jamaa habahatishi kabisa akili kumkichwa... Lakini haishii hapo tuu angalia CV zake form 4 na six na degree ya kwanza alaipata class gani...!!! ANGALIZO:Kabla hujaandika upuuzi au malighafi(unreseached data) tafadhali fanya uchunguzi kwanza.BIG UP TO MAGUFULIHE WILL MOVE TO CHADEMA IF CCM DENIES HIM TO BECOME THE NEW PRESIDENT OF THIS COUNTRY!!PEOPLE'S POWER
Blah hatutaki....Hembu tuambie km ni makini hivyo kwanini hakuweza analyse,na kufanya tafiri za haraka ktk wizara au hta kuomba msaada wizara husika na kuweza jua atumie njia zipi sahihi kushika ile meli na jinsi gani aishike ili mwisho serikali ifikie kushinda ktk matokeo ya hilo zoezi?Kuongoza nchi kuna mengi ya namna hiyo na mengi ni makubwa kuliko hayao na yanayokuja kwa pamoja na changamoto nyingi zaidi.Sasa km hawezi pata secondary data ktk data na kuzitafsiri ktk njia itakayompa majibu na njia nyingi zaidi sahihi za kutatua shida za watz ktk uhasilia wake utatuambiaje ni kichwa?Au unataka tulazimisha tukubali kwamba NYAPARA ANAWEZA ENDESHA GEREZA?au unataka tudanganya lab technicia anayefuata utaratibu aliowekea kufikia matokeo fulani anaweza kuwa mpanga utaratibu au mbunifu...Magufuli hawezi kuwa mzuri nje ya kupokea miongozo na kuifanya km master wake alivyotaka.
 
Ndugu mchunguzi acha mizengwe yako, Dr Magufuri ni kichwa (best brain) hivyo usidhani amepewa PhD yake kirahisi.Na UDSM haina record ya kutoa fake PHDs.Kuna ambao doctorates zao zina utata na hao wanafahamika hapa TZNIA.Refer kijitabu cha Msemakweli.
Kwani PHD yake ilikuwa juu ya nini na ilikuja na kipi kipya ktk ulimwengu au ktk nchi?
 
Interesting discussion. Just a note to add to the juicy discussion so far: We don't judge somebody's intelligence on the basis of a PhD. Intelligence is mainly assessed on the basis of the capacity to handle common sense issues using common sense! It is therefore naivety to try to undermine or disqualify Dr Magufuli's PhD on the basis of poor or good judgment to demolish a TANESCO building. I repeat: poor or good judgment is not an indicator of intelligence. Again, hardworking is never a sign of intelligence. Indeed, some cognitive tests indicate that hardworking people have extraordinarily low IQs!!
Haha..ktk maisha halisi tunahitaji rais mwenye uwezo ktk vitu vinavyoamulia ktk both common and uncommon sense?He has more poor judgements on his hands than he can handle..what about selling government plots and buildings.The whole whole process was a mess from planning, to ownership tranfer.(evaluation, pricing,criteria to choose buyers, etc), vipi meli ya uvuvi haramu? Mwenyewe kweka ktk CV yake, Kudanganya watz kwamba wakandarasi wamelipwa wakati sasa tayari serikali inaweza hitaji ingia mkataba kichaa wa kuuza nchi ili kulipa madeni ya nje.....km kapata PHD ya kihuni tayari ni shida kimaadili ..shida kubwa kuliko..itakuwa ni kuonyesha alivyo na historia ya uongo.
 
Back
Top Bottom