Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

Bendera za CCM zimeng'olewa Arusha

Nkobe

Hizo ni sababu mfu na hiyo inamaanisha ubinafsi wao na kwa namna nyingine inaonesha kwamba hayo ni baadhi matumizi ya ile sh.bil.50 za mkopo wa wafadhili.Kwa hiyo sio ajabu kuona hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Lakini waliikubali chadema kwakuwa ni chama cha kaskazini na ni saccoss ya wachaga! Bora leo umeseme mwenyewe Bavicha! Lakini pamoja na hayo huwa ham affect matokeo ya nafasi ya Urais...

Basi hiyo Saccoss ya wachagga ina nguvu kweli kweli.. Kama idadi yao haifiki hata 5% ya wapiga kura wote na bado waliweza kupata 26% ya kura za Urais, hao si watu wa kubeza..

Kama hiyo Saccoss imeweza kuleta mapinduzi kwenye miji mikubwa kama Mbeya, Mwanza, DSM, Arusha basi hiyo Saccoss siku si nyingi itakuwa na kuwa na hazina kubwa zaidi ya BOT..
 
Hawa watu ni wakabila hakuna tena, ila waelewe kitakachofata watakubali wenyewe ama labda kama hawaridhiki wahamie Kenya

Tuhame twende Kenya?? We ni mjinga nini.. Kama mnaona tunawakera sana tupeni Kilimanjaro na Arusha yetu nyie mbaki na Tanzania yenu..

Huu ujinga wenu ndio maana Chief Marealle alitaka nchi ya Kaskazini ijitegemee yenyewe.. Wakati kama huu namlaumu sana Babake Mbowe na Mangi Shangali wa Machame kwa kudhoofisha hoja ile.. Kama sio hivyo mngebaki kujifananisha na uongozi na maendeleo yetu thabiti kama sasa mnavyolilia uongozi na maendeleo ya Kagame..
 
Kanda ya ziwa bendera za ccm zimeadimika sana.Magufuli alituchomea nyavu zetu hatumtaki aende arusha
Uonevu wa magufuri siyo kuchoma nyavu tu, kuna alama za X nchi nzima ambazo kama si tamko la waziri mkuu na rais la kusimamisha bomoabomoa bila malipo , kilio kingekuwa kikubwa zaidi, na aliapa kuwa kuna siku zitabomolewa tu. Sasa kichaa kapewa rungu mchagueni muone kazi, hakuna wa kumzuia.
 
CCM ilifuta ile kauli ya mwanafamilia kuwa RAISI hawezi kutoka KASKAZINI??au imeendelea kukaa kimya ikifurahia ubaguzi huo????
 
Hawa watu ni wakabila hakuna tena, ila waelewe kitakachofata watakubali wenyewe ama labda kama hawaridhiki wahamie Kenya
WABAGUZI ni wale waliotangaza kuwa raisi hawezi kutoka KASKAZINI
 
Nkobe

nyie wajinga na siasa zenu za ukamda na ukabila,watu wakiwasema mnalalamika mimi mmwenyewe nakaa arusha nasikia wanayoyasema
,naomba na kanda ya ziwa zote za upinzani wazingoe tuone na ukabila wanu,
mungu anapompanga mtu kuwa rais kwake sio ukanda wala ukabila bali mtu sahihi wa kuongoza taifa,

MUNGU yupi huyo?
 
Hapa Mkuu hakuna cha ukanda wala nini labda kutolewa kwa bendera za mafisadi ni sahih maana wametuchosha.
 
jinsi zinavyong'olewa ni aibu kwa ccm.kweli haliwi haliwi limekuwa.eti wanamkata proffesor mwandosya na kumpa makamba mtoto wa juzi CCM.imekuwa chama cha urafiki na kifamilia.
 
Hapa Mbeya barabara ya Tunduma-Iringa zimebaki bendera za chadema tu.
 
Makomeo ni mhaya/mzinza na wala si msukuma. Kisukuma anakijua maana kijiji alichotoka kipo mpakani
 
hivi moshi vijijini, same, mwanga,siha kwenye wabunge wa ccm ni kanda gani ? si Kilimanjaro hiyo? CCM ikikataliwa inaanza kugawa watu kikanda
 
Nawakumbusheni -nilisema raisi hawezi kutoka kaskazini
 
Nawaombeni Wana JF na Wananchi wote kwa ujumla ifikapo Oktoba 25 tufanye maamuzi sahihi. Mungu awabariki sana.
 
Bendera hazipigi kura. Na siku zote mnasema ccm hakuna arusha sasa hizo bendera zilifikaje huko.Nyie tulieni watu wa kanda ya ziwa wainyooshe hii nchi. Sasa ndio mmepata mbabe mliokua mnamlilia.Huyu ni zaidi ya kagame.
 
Unategemea nini wanywa gongo,viroba na banana wanapo kutana? Wao wanacho waza ni kuvunja sheria na kuharibu amani tuu!

Uwezi kutaka kukabidhiwa nchi ikiwa hujakomaa kisiasa na wala huna uvumilivu kwa wengine!
Hii ni moja ya sababu ya nyie kukosa kura za watu wengi...kuna mtu anaweza kufikiri kuwapa kura lakini akasita maana akiona matendo yenu hamna tofauti na vikundi vya waasi au maharamia!

Ikulu mtaisikia kwenye bomba..

Ngoja MACHALII wa Arachuga waje!!
 
Magufuli atakuwa rais wa Tanzania,na mwenyekiti wa ccm taifa arusha ni sehemu ya tanzania mta obey sheria za nchi ya tanzania,otherwise hamieni kenya
 
Back
Top Bottom