Ananipenda lakini chamoto nakiona

Ananipenda lakini chamoto nakiona

kuna ex alikuaga na tabia hiyo ananunaaa wiki 2 hataki hata salamu, mie nakosa raha ila siku mnuno ukimuisha anakutafuta mwenyewe....sasa kuna siku kanuna hadi mwezi umepita kurudi nikampiga stop sitaki stress mpaka leo analialia kabadilika! huyo wako mtafutie funzo naye ataacha tu
 
Watu wengine wanavyopenda kutapeliwa fedha zao na waganga, sasa huyo wichidokta anamfahamu vipi huyo gf wako au ulikwenda nae?

Nilidhani elimu imetukomboa kumbe bado kabisa.

Halafu ni mhitimu wa degree ya kwanza UDSM
 
Hahaha degree bongo? Usipoenda wewe hata mmoja kati ya ndugu zako ataenda tu kuchunguza, vipi hawa watu wataishi vema. Hii ndio bongo
 
Akinuna nawe nuna, get busy fanya mambo mengine...
ila nawewe mwanaume mzima mshirikina, waganga wanapaka dawa kwenye yeti zao afu anakunanii, ukiambiwa hayo matibabu utafanyaje....
 
Mmmmmh haya yte maisha....asanteni kwa kejeli zenu...na ushauri wenu...nothing to loose something I gain...but I am not a witchdoctor and in all of my life I did not do so...but because of her and the kind of love I have to her...we stay for so long coz we started our relation when we were in form v now we complete our first degree and soon we need marriage....so pliz sio mchawi but its just to find alternative of reducing stress...but thus was the advice of my roommate in University it was not my intention .....and kuhusu kumfikisha is not a problem kwang hua napiga show za ukweli sana ananikubali mno Ila nadhan no tabia yake tu coz when tukiwa pamoja we enjoy so much but distance I think is a problem....I'll never back to the witch coz I do not get her from the witch so its just a way iam tried to solve but it was two years ago...so I am not like most people judge me...
 
Wakati mwingine kuna haja ya kutulia uli umri ukisogea mambo mengine yatajifunua yenyewe....

Kuna tabia za kimsingi za wanawake ambazo ni nadra sana kukuta mwanamke hana,hili huwezi kulijua hadi pale utakapokuwa na umri fulani kwasababu utakuwa umeshakutana na vituko hivi mara kwa mara na utakuwa umejifunza

Kuna wengine hata mwanamke akiwa na ujauzito halafu akawa hali vyakula fulani basi kwao linakuwa ni tatizo kwasababu hawajui kama unauzito unasababisha haya na akijifungua yote yanakwisha,suala hili linataka kufanana na hili lako...

Wanawake kununa na kususa ni kama kawaida yao na hili unapaswa kulijua,mnapotofautiana na mkeo/mpenzi wako na akanuna wewe usijali wala usionekane kukwazika bali wewe chukulia kawaida tu na atarudi mwenyewe kwenye hali ya kawaida na kama ni kubadilika atabadilika mwenyewe bila shuruti kabisa

Wakati mwingine anafanya hivyo ili kutafuta attention kutoka kwako baasi,sasa wewe ukihamanika utaharibu mambo zaidi,ndio maana wakati mwingine kuwa na mke kwenye umri huo mdogo ni hasara sana kwasababu unakuwa hujui baadhi ya mambo ya msingi!!
 
kuna ex alikuaga na tabia hiyo ananunaaa wiki 2 hataki hata salamu, mie nakosa raha ila siku mnuno ukimuisha anakutafuta mwenyewe....sasa kuna siku kanuna hadi mwezi umepita kurudi nikampiga stop sitaki stress mpaka leo analialia kabadilika! huyo wako mtafutie funzo naye ataacha tu

Wewe ni mwanaume?

Kama huyo aliekuwa anafanya hayo ni mwanaume basi ana majanga makubwa maana kunua ni tabia ya kike .....!!
 
Psychologically when the client need counselling its better when the counsellor take the problem as if its own probkem ...but when you make jokes its simply to increase stress and brain mismanagement to the client.....so I would like to advice my wanajamii that..try to read the post and understand it well then you may give your opinion...Don't judge a person through one mistake done...its true you confuse him....
 
Mhh, hiyo kanuna tu umemwendea kwa waonaji ( wapiga ramli)!! Siku akikusaliti sasa si ndio utaomba kuonana na shetani!!!?
 
Nashukuru JF kuwa sehemu nzuri ya ushauri maana ID nyingi 2015 wana vimbwanga vingi walivyokumbana navyo na sehemu muafaka kwao kutafuta ushauri ni JF.Live long JF.
 
Wakati mwingine kuna haja ya kutulia uli umri ukisogea mambo mengine yatajifunua yenyewe....

Kuna tabia za kimsingi za wanawake ambazo ni nadra sana kukuta mwanamke hana,hili huwezi kulijua hadi pale utakapokuwa na umri fulani kwasababu utakuwa umeshakutana na vituko hivi mara kwa mara na utakuwa umejifunza

Kuna wengine hata mwanamke akiwa na ujauzito halafu akawa hali vyakula fulani basi kwao linakuwa ni tatizo kwasababu hawajui kama unauzito unasababisha haya na akijifungua yote yanakwisha,suala hili linataka kufanana na hili lako...

Wanawake kununa na kususa ni kama kawaida yao na hili unapaswa kulijua,mnapotofautiana na mkeo/mpenzi wako na akanuna wewe usijali wala usionekane kukwazika bali wewe chukulia kawaida tu na atarudi mwenyewe kwenye hali ya kawaida na kama ni kubadilika atabadilika mwenyewe bila shuruti kabisa

Wakati mwingine anafanya hivyo ili kutafuta attention kutoka kwako baasi,sasa wewe ukihamanika utaharibu mambo zaidi,ndio maana wakati mwingine kuwa na mke kwenye umri huo mdogo ni hasara sana kwasababu unakuwa hujui baadhi ya mambo ya msingi!!

Umenena ndgu...what's you say is what's I observe kumbe ndo tabia yao...limeisha hlo...asant sana
 
Psychologically when the client need counselling its better when the counsellor take the problem as if its own probkem ...but when you make jokes its simply to increase stress and brain mismanagement to the client.....so I would like to advice my wanajamii that..try to read the post and understand it well then you may give your opinion...Don't judge a person through one mistake done...its true you confuse him....

Duh pole kwa kutaja maneno ya kingereza.
 
Mhh, hiyo kanuna tu umemwendea kwa waonaji ( wapiga ramli)!! Siku akikusaliti sasa si ndio utaomba kuonana na shetani!!!?

ni kweli kanuniwa kaenda kwa sangoma akisalitiwa ni direct kwa IBILISI
 
Back
Top Bottom