Bado hujaelewa kumbe, NSN siyo Vodacom. Vodacom iliwaachisha kazi hao wafanyakazi na iliwalipa, kwahiyo kwa sasa si wafanyakazi wa vodacom, why are you calling them vodacom? ungesema NSN staff working at vodacom project kwafukuta, I think ungekuwa very correct.
TCRA au wizara ya akina makamba...