JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
Wakati mwingine tunafikiri wapinzani ni dawa ya matizo yetu kumbe si kweli ukimya wa Halima Mdee kwenye tatizo letu la Madale hakika nimeushangaa sana.
Hahaha wewe kila Siku tunakujua ni gamba gumu sasa Leo unapodai wewe ni mpiga kura wa Halima ndio nimegundua wewe ni janga la maendeleo tz, inapoteza muda kujaza thread ukute Hata madale hupajui