Halima Mdee huwa hodari akiwa mjengoni kuomba miongozo na jioni kupata kinywaji CHAKO NI CHAKO. Jimboni amekuwa anaadimika sana pasipo kujali kipindi cha shida wala raha
ukome kuvamia viwanja na mashamba ya watu ...
Hawa Chadema hawafikirie uchaguzi 2015; ufinyu wao unawafanya wasiwe tayari kupokea mawazo yenye nia ya kuboresha utendaji wa wabunge wao. Majuzi wameshindwa kukemea kusudio la madiwani wa Moshi Mjini kwenda ziara ya mafunzo Kigali pamoja na wataalam wote kitendo ambacho kingesababisha ofisi za halmashauri zifungwe kwa wiki mbili. KWA KWELI WABUNGE NA MADIWANI WA CHADEMA NI JANGA LA TAIFA
Tukio la bomoa bomoa ya Madale na Ukimya wa Mdee umenifanya kumchukia Mdee na Chadema. Wapo kuikosoa CCM tu.
Chadema Wamepewa jimbo la kawe wanaona ni sawa kwa Halima kutokutana na wakazi wa Madale.
Katika maelezo yako umedai wewe ni mwathirika wa bomoabomoa ya madale, kama haitoshi ulipoahidiwa heka moja ya kiwanja ukasema kinachokuuma ni pesa uliyowekeza pale na si ukubwa wa kiwanja. Na sasa unadai hukai huko ila ni reporter wa kinachoendelea madale. Hii inaonesha wazi jinsi watu wa aina yako walivyo na asili ya popo, si ndege si mnyama. Katika kutafuta umaarufu mnajifanya ni wenzetu, mambo yakienda kombo hamkuhusika. Hiyo ni picha halisi ya viongozi wa ccm, kukwepa uwajibikaji. Jiamini ndugu na simamia unachokiamini. Sio mara shule za kata, mmechemsha mnaziruka na kukimbilia kilimo kwanza. Mnaendesha nchi kiholela lazima tuwaseme, tukikaa kimya hatuwasaidii na hatuisaidii nchi. Narudia tatizo si Halima Mdee, wala CDM, tatizo ni uongozi wa hovyo wa CCM. Ili tuendelee tunahitaji mambo manne 1. Watu (Human capital, technological capital) 2. Ardhi (Land and all embodied in it) 3. Siasa safi (Dira, Mfumo, sera (Vision, Mission)) 4. Uongozi bora (Planning, Coordinating, Organising, Leading, Strategies). Sasa mama porojo, tunapopungukiwa ni hapo namba nne, na ndio engine yenyewe ya kuleta maendeleo. Hivyo tunapoilaumu serikali yako kwa kushindwa ni hapo kwenye namba nne. Na ndio maana JK na EL wanapishana kauli 1. Kilimo kwanza 2. Elimu kwanza. The issue is no. 4!!!!!! NEED I SAY MORE?kuripoti tukio na mahali lilipotokea haina maana naishi huko mbona hapa kuna watu wanaripoti hata matukio ya washington kwani ni lazima waishi Marekani.
Nilikuwa na imani kuwa wabunge wa upinzani ni wabunge mbadala. Mimi ni mmoja wa waathirika wa bomoa bomoa ya Madale ambayo kuna kila aina ya ujanja ujanja lakini tangu tupate matatizo hayo sijawahi kuona mbunge wangu HALIMA MDEE akisema lolote au hata kuwatembelea waathirika kujua shida zao na namna ya kuwasaidia kwani ni wapiga kura wake.
wapo wanaolala nje hadi sasa, wapo walionyang'angwa ardhi kwa nguvu ya fedha lakini Halima ambaye ni mjumbe wa baraza la madiwani la Kinondoni nilitegemea angekuwa na kauli ya kutueleza wananchi tulioathirika na bomoa bomoa hiyo katika eneo la Madale nakalekwa, madale tuaroho na madale nakasangwe. Ni zaidi ya mwezi sasa tangu kupita kwa bomoa bomoa hiyo.
Halima anajua ukweli kwa sababu yuko kwenye vikao vya manispaa ya kinondoni lakini pia niliambiwa kasomea sheria ( i stand to be corrected) ni sheria ipi inaruhusu kumnyang'anya mwananchi aliyekaa eneo kwa miaka kumi bila kuendelezwa hao wamiliki halali akina Michael Chacha na wenzake walikuwa wapi miaka yote. Sheria inatoa miaka mitatu tu kwa ardhi ambayo haijaendelezwa kunyang'anywa au kuwa mali ya yule anayelindwa na sheria hiyo kwa maana kwamba kama mwananchi ameishi hapo kwa zaidi ya miaka mitatu bila mmiliki halali kutokea sheria inatambua na kumpa umiliki yule aliyopo kwa wakati huo.
My take: Halima Mdee acha kukimbilia kigamboni kuwalilia wananchi wake kutokakana na hofu ya mji mpya anza na jimbo lako. Bado tunakusubiri uje kuongea na sisi wananchi wa Madale ingawa umechelewa.
source: Mimi mwenyewe nilikuwa na kiwanja cha nusu heka Madale.
Wakati mwingine tunafikiri wapinzani ni dawa ya matizo yetu kumbe si kweli ukimya wa Halima Mdee kwenye tatizo letu la Madale hakika nimeushangaa sana.
2015 gombea na wewe naona utapata kura nyingi kwa kutetea wananchi wa madale kupitia JFMwaka 2015 Halima Mdee atakuwa mzigo mzito kwa chadema wapiga kura wengi watamnyima kura.
Bado hajaolewa, mchumba wake wa mwisho alikuwa Joshua Nasari sijui wamefikia wapi walitangaza hadharani kwenye uchaguzi wa Arumeru Mashariki.
kuolewa baod. hujajua?hawa CHADEMA wengi wanatafuta mitaji wengine passport za kwenda nje, sasa saa ngapi aje ahangaikie mashamba na viwanja, YAANI NAWAAMBIA KIPYA KINYEMI, KAMA UNAWAFUATILIA TAFUTA HISTORIA YA KILA MMOJA.Bado hajaolewa, mchumba wake wa mwisho alikuwa Joshua Nasari sijui wamefikia wapi walitangaza hadharani kwenye uchaguzi wa Arumeru Mashariki.
Katika maelezo yako umedai wewe ni mwathirika wa bomoabomoa ya madale, kama haitoshi ulipoahidiwa heka moja ya kiwanja ukasema kinachokuuma ni pesa uliyowekeza pale na si ukubwa wa kiwanja. Na sasa unadai hukai huko ila ni reporter wa kinachoendelea madale. Hii inaonesha wazi jinsi watu wa aina yako walivyo na asili ya popo, si ndege si mnyama. Katika kutafuta umaarufu mnajifanya ni wenzetu, mambo yakienda kombo hamkuhusika. Hiyo ni picha halisi ya viongozi wa ccm, kukwepa uwajibikaji. Jiamini ndugu na simamia unachokiamini. Sio mara shule za kata, mmechemsha mnaziruka na kukimbilia kilimo kwanza. Mnaendesha nchi kiholela lazima tuwaseme, tukikaa kimya hatuwasaidii na hatuisaidii nchi. Narudia tatizo si Halima Mdee, wala CDM, tatizo ni uongozi wa hovyo wa CCM. Ili tuendelee tunahitaji mambo manne 1. Watu (Human capital, technological capital) 2. Ardhi (Land and all embodied in it) 3. Siasa safi (Dira, Mfumo, sera (Vision, Mission)) 4. Uongozi bora (Planning, Coordinating, Organising, Leading, Strategies). Sasa mama porojo, tunapopungukiwa ni hapo namba nne, na ndio engine yenyewe ya kuleta maendeleo. Hivyo tunapoilaumu serikali yako kwa kushindwa ni hapo kwenye namba nne. Na ndio maana JK na EL wanapishana kauli 1. Kilimo kwanza 2. Elimu kwanza. The issue is no. 4!!!!!! NEED I SAY MORE?
Porojo rudi na porojo zako hapa utueleze historia fupi ya hicho kiwanja ulikipataje/unakimili vp, hiyo sehemu ni reserved, residential, industrial area au.
Hivi unajua ardhi ni mali ya serikali? Hiyo sheria ya kukaa mahali miaka mitatu ndiyo unafanya kwako sijaielewa vizuri. Ulishamtafuta Mbunge wako wewe kama Porojo ukamueleza hili tatizo lako au ndiyo umekuja kumtafutia hapa jf