yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
honestly speaking n kwamba ccm wameboronga sanaa wakatupa umaskini tulionao ila watanzania lazm tucheze km pele hapa ktk haya mabadiliko.kwan hakuna watanzania wanaoweza kauzaisha chama kingine tukakipa kura.naanza kukikumbuka nccr kilikua cha mageuzi ya kweli.bwana mrema alisimama mwenyewe wala hakutaka kufadhiliwa na mashoga wala wakristo wenzie.