Pole sana mdogo wng ila jambo lililo zuri na bisara jitahidi umeeleze kuhusu tabia yeke kuwa uhifurahii pia nakusii zungumza naye taratibu (inaonyesha hajuwi dhamani yako huyo)
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mimi pia niliwai sumbuliwa sana na uwo ugonjwa na nilikula dawa mbali mbali za asili ila mwisho wa siku nilipigwa nyembe na sasa namshukuru M/mungu nipo sawa sina athali ya barid wala joto.
Sent from my BlackBerry 978 using JamiiForums
Wachangia mada jitahidi kuangalia point ya mtoa mada, mimi binafsi naungana na Warioba ila Rizi hakustaili kutoa lugha yenye maneno ya karaha.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Tujifunze kuheshimu mawazo na hisia za watu, na ninyi mnao hitaji wachumba/ mume muwe na sreious kuna watu hawana masihara wamechoka huishi bachela mwisho muwe mnaweka # zenu.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Unapowaza sana akili na fikira za JK waweza sema mengi ukakosa majibu kimsingi jamaa nw hatufai na hana niamzur ya kizazi chetu kujacho.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Pole sana sasa wahitaji tukushauri coz yeye anakupenda na ww unampenda ila unaogopa ndoa yako kuteteleka so lipi usaidiwe? Kama vp mpe namba yangu mm sjaoa.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.