TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

Eeh Mungu wa rehema, fadhila zako ziwe pamoja na wafiwa katika kipindi hiki kigumu.
 
R.I.P kanjunju...Sasa wengine tukifa nani atakuja kutangaza humu Jf..maana majina yenyewe feki watu hatijuani wala nini!
 
Kuna kichaa mmoja alikuja hapa last week akiuliza kwanini wana JF hawafi? shetani mkubwa yule RIP Kanjunju
 
Last edited by a moderator:
napenda kutoa taarifa hii rasmi kwa wana jf wote na mods kwa ujumla kuwa tumeondokewa na mwanachama mwenzetu ambaye alijiunga na jukwaaa hili tangu octoba 2010.

Alikuwa anatumia id ya kanjunju. Hivyo tunaomba tumwombee. Alifariki dunia katika hospitali ya mkoa ruvuma wiki iliyopita.

Rip kanjunju.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa ndugu wa karibu sana.

Mods tunaomba katika listi yenu mumweke inactive.

r.i.p kanjunju
 
pumzika kwa amani na kristo atakufufua siku ya mwisho
 
nimesoma post yake mungu alionesha kifo chake zamaaaani. alikuwa na mchumba katika hatua za kufunga ndoa mamamzazi wa mwanaume akawa anapinga akidai kuwa kila akimuomba mungu kwaajili ya suala hilo aliona Giza! pia mama huyo alisema kuwa kama wataoana miaka mitatu ijayo ndoa yao itakuwa imevunjika. RIP kanjunju dada etu mungu alionesha
Ulichokisema ndio kilichotokea. Ni kweli kabisa na hata wazazi wa mwanaume kwanza hawakuhudhuria siku ya ndoa yao. Na hata alipofariki wazazi wake walikuja siku ya pili baada ya kuzika. Historia ya ndoa yao ni kuwa imedumu miezi minne tu kamili na kufariki dunia. Huenda baada ya maelezo haya wengi mtamjua.
 
Hakika yeye mbele sis nyuma Allah ampe mapumziko mema inslh.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom