Natafuta mume mtarajiwa!

Natafuta mume mtarajiwa!

halo! Kweli ww umedoda inamaana umewakosa mtaani kwenu, classmate, hata kanisan unakosali hamuna duuu! Hata wa kusakiziwa na rafiki zako hamuna lol! Hata mm naogopa kuingia pm najua ntaingia chakike tu. Kwaheriiii eeeee

Wasalimie uendako!
 
haya asante! Naww nakutakia utafutaji mwema wa wagegedaji na sio waoaji, kwasababu ninaamini kabisa utakuwa tatzo kwenye ndoa

Usiishi kwa kukariri maisha hayana fomula,sio kila mchumba anapatikana church/chuo/mtaani/kwenye bus/ n.k Pia sio kila mtu anagegedeka kirahisi!
 
Usiishi kwa kukariri maisha hayana fomula,sio kila mchumba anapatikana church/chuo/mtaani/kwenye bus/ n.k Pia sio kila mtu anagegedeka kirahisi!
mimi nipendezwa sana ila napenda kugegeda. kama hatojali pm
 
Wewe una sifa za kuwa mke wa mtu?

Kila mtu ana vigezo vyake so,naweza nisiwe na sifa kwako ila kwa mwezio nikawa bonge la mke! So,naamini ninasifa za kuwa mke japo sifa hizo haziwezi kufit kwa kila mwanaume!
 
Tujifunze kuheshimu mawazo na hisia za watu, na ninyi mnao hitaji wachumba/ mume muwe na sreious kuna watu hawana masihara wamechoka huishi bachela mwisho muwe mnaweka # zenu.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Usiishi kwa kukariri maisha hayana fomula,sio kila mchumba anapatikana church/chuo/mtaani/kwenye bus/ n.k Pia sio kila mtu anagegedeka kirahisi!

hahahaaaaaa! Unataka kutuaminisha kuwa ww ni mke mwema na sio kurumbembe?? Acha kutudanganya watu wazma bhana. Ungekuwa unasifa za kuwa mke usingehangaika mpaka humu kwenye mitandao. Ww kuwa mkweli tu kuwa jaman mwenzenu nilikuwa hati punguzo/ maharage ya mbeya sas hvi nimekosa soko nmeona nijitembeze ili niuzike. Ukisema hvyo tutakuelewa na tutajua tuje na staili gani. Au sio bi dada
 
Ubaguzi huu jamani,kwa hiyo mimi std 7,sipati chance kabisa,mpaka wa kutoka chuo,so unampenda wa chuo kwa kuamini ana maarifa,lakini tupo sisi wengine hicho chuo hatukijui ila tuko smart upstairs,as its known intelligence is nothing to do with education,so nipe nafasi ndugu.....
Na mimi mkuu, sijasoma lakini nimewaajiri graduates kibao, hivyo vigezo vyao nadhani inabidi wavipitie upya.
Imani ya kizamani kwamba msomi ndio mwenye chapaa..WEWE TUTAFOJI VYETI TUKUINGIZE MKINGI
 
Mimj nipo dada.. age 35,graduated from sussex university i come from britain Ntigy
 
Last edited by a moderator:
Unatafuta "mume mtarajiwa" au mchumba mtakayeoana Mungu akijalia?

Mume mtarajiwa maana yake,ni mwanaume wa mtu aliye kwenye mipango ya mwisho ya kumuoa binti fulani sehemu fulani...je ndiye huyo umtafutaye? Ntigy
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom