Safari yangu ya 100M UTT itatimia tu within 3 yrs 2026 included , nikweli Kuna kuvunjana moyo humu ila hutakiwi kusikilza Kila kitu mana ndoto ni zako peke Yako.
Umeeleza vyema, majukumu huharibu kabisa mitaji na muendelezo wa biashara.
Jamaa yangu mmoja anamiaka m5 kwenye biashara ya sabuni, anatengeza mwenyewe na kusambaza kwa jumla madukani, ni expert Sasa ila huoni akisogea mbele kwakua anamajukum mengi ya familia yaani BABA, MAMA mpaka wadogo zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.