Recent content by Mr kenice

  1. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Walimu 56 wakihama chama cha CWT Kilindi Tanga

    Vyama vya wafanyakazi mara nyingi ni upigaji kwa kigezo Cha kukutetea kwa maslahi hewa na haki za wafanya kazi.
  2. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

  3. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Oyaa wazee Facebook kumekucha, Nabii Tito kachafukwa

    Asee
  4. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Wazawa wenyewe skuizi wanaukataa Udalisalama famchezo Nini.
  5. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    00:36
  6. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Bend Over.
  7. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Pengine ili taifa liwe na watu wenye akili timam lazima lipitishwe kwenye Vita vikali sana, na sio maigizo ya vita vya Uganda na Idd amin.
  8. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Nadhani kuna kitu tumefichwa kuhusu mwenge

    Hilo zindiko maana yake Tanganyika Imerogeka toka enzi hizo na Bado wanaendelea kuroga Kila mwaka.
  9. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Hata Polepole tuliambiwa ni watu wa system tu, kwamba anacheza mchezo na sanaa ya siasa ila ni CCM mtupu. Je Leo Yuko wapi na kilimtokea kitu gani. Kwa Sasa hakuna mwana mtandao atajitoa mhanga eti ni mwana mtandao.
  10. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania Banda Umiza

    Sometimes yanalipa ukijua kujibrand
  11. Mr kenice

    JamiiForums Tanzania TUNAPASWA KUWA MAKINI

    MP wamejisevia.
Back
Top Bottom