TUNAPASWA KUWA MAKINI

TUNAPASWA KUWA MAKINI

W.W.W
stands for what in the army?

Mliopita huko mnianbie!!
 
Tusikilize anachozungumza au tusome kilichoandikwa Hiyo caption? au tuwe makini tu kiujumla? 🤣🤣🤣 Watu na uchizi sana
 
Tusikilize anachozungumza au tusome kilichoandikwa Hiyo caption? au tuwe makini tu kiujumla? 🤣🤣🤣 Watu na uchizi sana
Mm nataka uhakika wa hiyo taarifa kam utaweza kutafsir kinachozungumzwa itapendeza zaid
 
Amn mm nimeuliza tu kam lina ukweli na sio kwamba nakudharau
Umepost video ya wajeda kupata ujauzito vitani kisha ukatutahadharisha tuwe makini as if unahofia tunaweza kupata ujauzito kwenye mapambano yetu mitaani
 
Umepost video ya wajeda kupata ujauzito vitani kisha ukatutahadharisha tuwe makini as if unahofia tunaweza kupata ujauzito kwenye mapambano yetu mitaani
Amna umenitafsiri vibaya
 
Back
Top Bottom