timu yako ikifungwa unapata maumivu+matani ya raia dahKwanini mliita banda umiza?
Nahisi Hekaheka za mule, kuminyana.Kwanini mliita banda umiza?
Wanaotazama mpira kwenye VIP lounge nao wanapata hayo maumivu?timu yako ikifungwa unapata maumivu+matani ya raia dah
Sawa sawaNahisi Hekaheka za mule, kuminyana.
Mulemule wote wako kapu mojaWanaotazama mpira kwenye VIP lounge nao wanapata hayo maumivu?
Sawa sawaMulemule wote wako kapu moja
Ma benchKwanini mliita banda umiza?
YamefanyajeMa bench
Kilimo cha matikiti kikiwa kwenye karatasi kina lipa sana!..Hela yako wekeza kwenye kilimo na ufugaji, huko kwingine utashtukia umezeeka na ujuaji wako wa kuwajua wachezaji wote wa Yanga huku ukiwa huna kitu. labda kama una miradi mingine.
mimi nalima mkuu,ndio maana nimekushauri uwekeze kwenye kilimo. Na sikuwa na nia mbaya maana umenijia juu.Kilimo cha matikiti kikiwa kwenye karatasi kina lipa sana!..
Lima wewe sasa!!!.
Hapana mkuu, nimetaniamimi nalima mkuu,ndio maana nimekushauri uwekeze kwenye kilimo. Na sikuwa na nia mbaya maana umenijia juu.