Walimu 56 wakihama chama cha CWT Kilindi Tanga

Walimu 56 wakihama chama cha CWT Kilindi Tanga

Nguva Jike

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
1,286
Reaction score
1,854
Walimu 56 wakihama chama cha walimu CWT kilindi Tanga.Hatua hiyo wamefikia kutoa notisi ya mwezi mmoja kwa mwajiri.

"Mimi nadai pesa za uhamisho mwaka wa 6 huu mbaya zaidi kila wanaposema wanatulipa tunaishia kupewa laki mbili,tatu au nne sisi walimu wa msingi lakini wenzetu wa sekondari wanalipwa milioni moja mpaka mbili katika kupunguziwa deni lao.Je,huu sio ubaguzi? Ni bora kukihama hiki chama au kutokuwa na chama kabisa hawatutendei haki kwakuwa viongozi wa cwt wanaogopa kupoteza vyeo vyao hivyo wanatutelekeza ".
 
Nahisi wewe ni :

kichaa

mtu aliyepungukiwa na akili


Au utakuwa:

chizi

mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo

Nahisi wewe ni :

kichaa

mtu aliyepungukiwa na akili


Au utakuwa:

chizi

mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo

Tunakaa wodi moja? mbona kama unanijua sana
 
Sema waalimu bana, ni watu flani hivi😁
 
Kwani mwenye kulipa hela za uhamisho au likizo ni Cwt wanatakiwa wamfuate mwajiri na kumkemea tabia yake ya kutowalipa watumishi madeni yao sasa hawafanyi hivyo wanakuwa upande wa mwajiri
 
Vyama vya wafanyakazi mara nyingi ni upigaji kwa kigezo Cha kukutetea kwa maslahi hewa na haki za wafanya kazi.
 
Back
Top Bottom