Recent content by Mr Cu

  1. Mr Cu

    Sifa na utukufu kwa wanaume woote wanaotufikisha kibo

    Nan atanipa pongezi baada ya kufika milima ya uruguru Mzigua90 vp
  2. Mr Cu

    Wengi walionunua bajaji, bodaboda na uber hawakupata faida tarajiwa

    Mkuu “eti shida yako nn” aki siku hiyo hiyo akatafute kazi nyingine
  3. Mr Cu

    Kibo Complex ndiyo shopping center bora kuliko zote Dar es Salaam

    Hahahhhh Hahahhhh, supermarket ya pale wamejaza t paper na chupa za maji, ina ubora gani
  4. Mr Cu

    DSTV kushusha bei za vifurushi vyao kuanzia Septemba Mosi

    Nataman nichukue kinga’amuzi SA nikitumie bongo
  5. Mr Cu

    Wazoefu wa biashara ya boda boda na bajaji, njoo mtujuze changamoto mnazokumbana nazo

    Muhimu kuweka GPs na kukatatia bima kubwa afu gharama hizo unaongeza mwezi mmoja mbele
  6. Mr Cu

    Zanzibar Dolphin Tour

    Nice
  7. Mr Cu

    Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

    Wew ndo una akili kati ya jinsia ya kike iliyo comment kwenye uzi huu.
  8. Mr Cu

    Wazee wa fursa nini kinaendelea kwenye matikiti?

    Kwa sasa tikiti ni adimu ndo maana bei ipo juu kidogo, kufika mwezi wa tisa na wa kumi tikiti itakuwa nyingi mtaani
  9. Mr Cu

    Unaweza sasa kutengeneza vigae vya kupaua nyumba

    Hii kitu namkumbuka marehemu kibs kwenye kipindi chake cha maisha ni nyumba, aliwai kufanyia kipindi pale mwenge kwa hao jamaa. Tatizo la siku hizi watu wanavikataa vigae kuwa vina kula mbao asee
  10. Mr Cu

    Tupeni mrejesho mliowekeza kwenye mashamba ya miti

    Safi sana, najiandaa kuzama njombe
  11. Mr Cu

    Mambo ya kuzingatia ili kuishi muda mrefu

    Asante sana, kuanzia leo me na gambe basiiiiiiiiii
  12. Mr Cu

    Je, kuna tofauti kati ya Chifu Mangungo wa Msovero na Profesa Kabudi?

    Hahahhhh, nimekumbuka mbali sana
Back
Top Bottom