exit
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,670
- 1,808
Umesahau swala la moto pia linaweza tokea hapo. Biashara ngumu sana.Mosi; kuna changamoto ktk uwekezaji huu, usiweke hela kwenye miti kama cash flow yako ni ya mawazo sbb unaweza kuambulia majivu. Sio uwekezaji wa muda mfupi, ili upate faida ni lazima uende zaidi ya miaka 15 mpaka 23 hivi. Aina ya miti na scale ni muhimu sana kuijua ili kufikia malengo.
Pili; mabadiliko ya sera, anguko la uchumi kwenye jamii linaathiri sana uwekezaji huu.
Tatu; kwa wenye pumzi huu ni uwekezaji mzuri kama sector nyingine.