Huu ndio ujinga tunaojaribu kuukataa. Kwa hiyo Magufuli anashughulika tu na watu ambao hawakumkubali? Kumkubali Lowasa kuna kosa gani? Muwe serious kidogo, Tanzania ni ya watanzania wote sio lazima awe CCM.
Huu ni upuuzi kudhani kwamba kwa kuwa watu wanamsapoti Magufuli na utaratibu wake mpya wa uongozi ambao ndio watu wanataka kuuona ukitumika, ni sawa na kuisapoti CCM. Hiyo haipo kabisa, kwa kuwa hata CCM kwa sasa haimsapoti Magufuli. CCM imejengwa katika wizi, uongo, unafiki, dhuluma kwa...
It has since been established that she did not actually blow herself up, but one of the two males who were with her in the room apparently did. Up to now authorities in Paris have not been able to establish who of the two males did detonate his vest! Check your facts!
Acheni upumbavu huu, na iacheni roho ya Nyerere kokote iliko ipumzike. Tanzania haiwezi kuongozwa kutoka kaburini. Tanzania itabaki hata baada ya sisi sote kutoweka, ni ujinga kudhani kuwa tunaongozwa na akili za Nyerere ambaye ameshaoza.
Ndio maana nchi hii tuna matatizo yasiyosemeka.Watu wanaingia siasa kama ajira na uelewa wao uko chini. Na hilo limefanya pia wanasiasa waliopo ndani ya CCM wajione kama vile nchi ni ya kwao. Wanadhani kuwa madarakani ni kumiliki nchi na wengine wanafanyiwa kama hisani. Inatokea mpaka mtu...
Sasa anayeahidi ni Shein, huyu ambaye ni Rais wa sasa wa Zanzibar, kama wapiga kura wa Zanzibar wana akili timamu inabidi apate kura za familia yake na watu wa Kisiwandui pekee.
Huu ni ushabiki, kwa ujumla namba zote wanazojaribu kutoa sasa ni makadirio kadri mtu alivyoichunguza hali halisi. Na kwenye makadirio huwezi kuwa na 'precision' kwa sababu hujatumia 'quantifiable primary data', unapoona mtu anakuja na precision ya 82, 68, 69.5 etc. unajua ni hisia tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.